Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 836
- 1,048
Kipindi cha Rais Magufuli siri zilikuwa zinavuja sana haswa siri kutoka Ikulu, ilifika hatua hata hotuba ya Rais inajulikana kabla hajaenda kuhutubia. Mfano mwingine hata taarifa za kifo cha Rais Magufuli zilivuja kabla ya tarehe 17/03/ watu walijua kuwa hatunaye tena japo serikali ilijitahidi kuficha kwa kila namna....Kuna siri gani alivujisha? Wengi nimewauliza hili swali lakini sikuwahi kupata jibu