Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 477
- 1,066
Habarini za muda huu ndugu zangu,
Malalamiko yangu ni kwa Idara ya Elimu Sekondari katika wilaya ya Ulanga. Hawa jamaa sijui ni uzembe au kujisahau katika majukumu yao.
Kumekuwa na utofauti wa ulipwaji stahiki mbalimbali kati ya idara ya msingi na sekondari. Mfano, suala la ulipaji nauli za likizo kwa watumishi.
Idara ya Msingi huwa wanalipa muda muafaka kuliko Idara ya Sekondari. Mfano, nauli ya likizo ya mwezi wa 12 mwaka jana, Idara ya Msingi walilipwa mwezi ule ule wa 12 lakini Idara ya Sekondari hadi leo hawajalipwa.
Lakini pia, nauli ya likizo ya mwezi huu wa 6 Idara ya Msingi wameshalipwa lakini Idara ya Sekondari hata hawaeleweki.
Naomba waache kufanya kazi kwa mazoea.
Malalamiko yangu ni kwa Idara ya Elimu Sekondari katika wilaya ya Ulanga. Hawa jamaa sijui ni uzembe au kujisahau katika majukumu yao.
Kumekuwa na utofauti wa ulipwaji stahiki mbalimbali kati ya idara ya msingi na sekondari. Mfano, suala la ulipaji nauli za likizo kwa watumishi.
Idara ya Msingi huwa wanalipa muda muafaka kuliko Idara ya Sekondari. Mfano, nauli ya likizo ya mwezi wa 12 mwaka jana, Idara ya Msingi walilipwa mwezi ule ule wa 12 lakini Idara ya Sekondari hadi leo hawajalipwa.
Lakini pia, nauli ya likizo ya mwezi huu wa 6 Idara ya Msingi wameshalipwa lakini Idara ya Sekondari hata hawaeleweki.
Naomba waache kufanya kazi kwa mazoea.