digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,169
- 22,118
Mkuu Nani kasema anatafuta mchawi? Mimi sio mtu wa kulia Lia!Deni la bodi alitoe wapi kumbuka anasema alianza na Daraja A Ina maana uyu ni mwalimu grade A kafika daraja D kwa kupanda daraja ndio maana anamwambia amekaa na Daraja Hilo miaka kumi Ina maana aligoma kurudi shule elimu yake ndio imemfanya akae hapo alipo asitafute mchawi nani
