KERO Watumishi wa afya Babati tunahamishwa kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho

KERO Watumishi wa afya Babati tunahamishwa kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Watumishi wa afya Babati tunahamishwa sana tena kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho, inatakiwa ulipwe ndio uhamishwe kwenda kituo kingine lakini tunashinikizwa kuhamishwa na hatupewi pesa zetu za uhamisho.

Wengine ni miaka sasa ushaomba hupewi wengine wamehamishwa hivi karibuni bado hawalipwi tunataka kujua lini tutapewa pesa zetu za uhamisho.

Hapo bado kuna malimbikizi ya mshahara, barua zilishapelekwa hadi leo hii hatujalipwa watuambie watatulipa pesa zetu lini Halmashauri ya Babati.

Wapo wa Mwaka 2024 mpaka leo hawajalipwa, wapo wa 2025 hatujalipwa na barua zimepelekwa tayari halmashauri adi leo hii hazijafanyiwa kazi.
 
Watumishi wa afya Babati tunahamishwa sana tena kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho, inatakiwa ulipwe ndio uhamishwe kwenda kituo kingine lakini tunashinikizwa kuhamishwa na hatupewi pesa zetu za uhamisho.

Wengine ni miaka sasa ushaomba hupewi wengine wamehamishwa hivi karibuni bado hawalipwi tunataka kujua lini tutapewa pesa zetu za uhamisho.

Hapo bado kuna malimbikizi ya mshahara, barua zilishapelekwa hadi leo hii hatujalipwa watuambie watatulipa pesa zetu lini Halmashauri ya Babati.

Wapo wa Mwaka 2024 mpaka leo hawajalipwa, wapo wa 2025 hatujalipwa na barua zimepelekwa tayari halmashauri adi leo hii hazijafanyiwa kazi.
Na wewe unakubali vp kuhama bila kupewa distubance allowance? Nyie ni vilaza tu
 
Watumishi ambao tunakuja ofisini kwenu mnatuona kama hamtujui kwanza inafaa hata msilipwe miezi mitatu pumbavu zenu
 
Watumishi wa afya Babati tunahamishwa sana tena kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho, inatakiwa ulipwe ndio uhamishwe kwenda kituo kingine lakini tunashinikizwa kuhamishwa na hatupewi pesa zetu za uhamisho.

Wengine ni miaka sasa ushaomba hupewi wengine wamehamishwa hivi karibuni bado hawalipwi tunataka kujua lini tutapewa pesa zetu za uhamisho.

Hapo bado kuna malimbikizi ya mshahara, barua zilishapelekwa hadi leo hii hatujalipwa watuambie watatulipa pesa zetu lini Halmashauri ya Babati.

Wapo wa Mwaka 2024 mpaka leo hawajalipwa, wapo wa 2025 hatujalipwa na barua zimepelekwa tayari halmashauri adi leo hii hazijafanyiwa kazi.
Acheni umburula nyie
 
Watumishi wa afya Babati tunahamishwa sana tena kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho, inatakiwa ulipwe ndio uhamishwe kwenda kituo kingine lakini tunashinikizwa kuhamishwa na hatupewi pesa zetu za uhamisho.

Wengine ni miaka sasa ushaomba hupewi wengine wamehamishwa hivi karibuni bado hawalipwi tunataka kujua lini tutapewa pesa zetu za uhamisho.

Hapo bado kuna malimbikizi ya mshahara, barua zilishapelekwa hadi leo hii hatujalipwa watuambie watatulipa pesa zetu lini Halmashauri ya Babati.

Wapo wa Mwaka 2024 mpaka leo hawajalipwa, wapo wa 2025 hatujalipwa na barua zimepelekwa tayari halmashauri adi leo hii hazijafanyiwa kazi.
Nchi ya mama hii mkuu
 
Mwenzio wamemvunjia Nyumba huko Mbagala akasema M/Kiti wenu alimpigia kura na kumfanyia kampeni wewe unasema malipo ya uhamisho tu? Endelea kusubiri bila kuchoka utafikiwa tu
 
Acha kazi, unalalamika kuhamishwa kituo? Kuna watu wamekula mkeka 10yrs+ na bado wanasota hakuna kazi ! Pumbavu kabisa
 
Watumishi wa Afya Babati tunahamishwa sana tena kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho, inatakiwa ulipwe ndio uhamishwe kwenda kituo kingine lakini tunashinikizwa kuhamishwa na hatupewi pesa zetu za uhamisho wengine ni miaka sasa ushaomba hupewi.

Wengine wamehamishwa hivi karibuni bado hawalipwi tunataka kujua lini tutapewa pesa zetu za uhamisho.

Bado kuna malimbikizi ya mshahara barua zilishapelekwa hadi leo hii hatujalipwa watuambie watatulipa pesa zetu lini halmashauri ya babati

Wapo wa Mwaka 2024 mpaka leo hawajalipwa wapo wa mwaka 2025 hatujalipwa na barua zimepelekwa tayari halmashauri hadi leo hii hazijafanyiwa kazi.

Malimbikizi ya mshahara ni mwezi mmoja kwa wengine ajira ya 2024 na barua zilipelekwa halmashauri hazijafanyiwa kazi hadi leo……
 
Back
Top Bottom