Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,515
- 42,646
Kasome nawewe hujachelewa.Si uwa tunaambiwa huko serikalini wamejaa wasomi.
Kasome nawewe hujachelewa.Si uwa tunaambiwa huko serikalini wamejaa wasomi.
Kila ukiona post yangu sharuwala inakuwasha lazima ujibu safi sana kijana.Kasome nawewe hujachelewa.
Sasa mbona huyo magufuli amewatimua wale wapika futari pale ikulu?Alichukua hatua ya kumpaisha Magufuli ili aje kuwashughulikia, au hulijuwi hilo?
cheap politics, Magufuli is different dimensionsHaya yote unaoyaona na matokeo ya Kikwete kuanzisha system ya kuyabaini hayo, jisomee:
Katika repoti yake ya mwaka 2013/14, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alibainisha kuna zaidi ya Sh141.4bn zimelipwa kwa wafanyakazi hewa katika mwaka wa fedha.
cheap politics, Magufuli is different dimensions
Sasa mbona huyo magufuli amewatimua wale wapika futari pale ikulu?
CCM leadership supports Magufuli 100% by words but opposes him 100% by actions!And he is 100% product of CCM.
Amewapa fursa ya kumfuata mla futari alikokwenda!Sasa mbona huyo magufuli amewatimua wale wapika futari pale ikulu?
CCM leadership supports Magufuli 100% by words but opposes him 100% by actions!
Ilani ya CCM haijawahi kutamka kitu walichokuwa wanadhamiria kukifanya! Huwa wanaweka maneno mazuri ya kulaghai wapiga kura huku wakiwa hawana dhamira ya kuyatekeleza! Yaani supporting by words but opposing by actions!Kaisome ilani ya uchaguzi ya CCM ndipo utapoelewa.
Ilani ya CCM haijawahi kutamka kitu walichokuwa wanadhamiria kukifanya! Huwa wanaweka maneno mazuri ya kulaghai wapiga kura huku wakiwa hawana dhamira ya kuyatekeleza! Yaani supporting by words but opposing by actions!
Wewe ni shahidi mzuri wa jinsi CCM walivyowahi kuwalaghai waislam na wewe ukiwamo katika ilani zilizopita kuwa, wakipata ridhaa ya kuunda serikali wataanzisha mahakama ya kadhi, huku wakijua fika kuwa jambo hilo hawatalitekeleza, maana halitekelezeki!
Kwa kuanzia tegeni masikio kwenye uozo utakaoanza kuibuliwa kwenye halmashauri ya Jiji la DarHii tatizo ni kubwa na imelelewa na CCM siku wakitoka madarakani mtashuhudia mengi
Maajabu yanaendeleaKwa mtaji huu haishangazi kuona nusu ya makusanyo kitaifa yanatumika kulipia mishahara ya watumishi wa serikali.
Haishangazi kuona gap la wenye nafasi za kupiga dili kama hizi (accumulation of dubious wealth) lilikuwa linapanuka kwa haraka ukilinganisha na wasio na nafasi.
Kazi iliyoko mbele ya Rais Magufuli ni pevu. These are high pressure situations and he has to keep a cool, calm and collected head, otherwise he'll go nut.
Hii nchi ina maajabu na vituko!
Na pia CAG alikuwa ha ripoti bungeni, na pia ripoti zake zilikuwa zinakuja baada ya miaka minne mpaka mitano ambazo zilikuwa hazina faida yoyote.
Kikwete alibadili yote hayo lakini mapunguani wengi humu hawaelewi hayo.
NyumbuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuHii tatizo ni kubwa na imelelewa na CCM siku wakitoka madarakani mtashuhudia mengi
kichaa mkubwa weweSoma post ya juu hapo, nimeshajibu huu ujinga wenu.