Maeneo mengine hawakuwa Serious hata kidogo, na weakness kubwa ni kwamba watuhumiwa waliowajiiri hao watumishi hewa ndio waliokuwa wasimamizi wa zoezi zimaNilikuwa iramba jaman ilikuwa salary slip kwa salary slip jina kwa jina sura kwa sura. Kiukwel wale wadau walikuwa makini. Tunangoja impact sasa
Mh.. Hivi kumbe Magu lilikuwa chaguo la JK ee? AiseeNaam, ndiyo maana akamleta Magu kuja kushughulikia hayo, kaisome ilani ya CCM.
mkuu ukishaaweka CCM pemben ndo akina lowasa karamai , ROSTAM na mbowe watafunua huo UOZO are you seriously .. ni juzi tu EDO amelalamika waliokuwa wanamuunga mkono wanabughudhiwaAcha unafiki kijana, tena koma kabisa kufikiria kuwa haya yalikuwepo wakati wa KIKWETE TU. Haya yalikuwepo wakati wote na kwa taarifa yako hayo ni tone tu ktk bahari, machafu ni kila sehemu.
UKWELI NI KWAMBA SERIKALI ZOTE ZA CCM, NYAKATI ZOTE ZIMEOZA NA WALA MAGUFULI HAWEZI KUREKEBISHA CHOCHOTE. LA MUHIMU NI KUIWEKA CCM PEMBENI NDIO UTAONA MAAJABU YA MUSA.
NAKUOMBA USEME TENE NA RUDIA KUWA CCM IMEOZA NA INANUKA.
Brilliant contribution. Hili LA wafanyakazi hewa ni jibu limeshaanza kutumbuliwa. Lakini kuna tambazi LA vyeti feki hata kuguswa bado.Kwa mtaji huu haishangazi kuona nusu ya makusanyo kitaifa yanatumika kulipia mishahara ya watumishi wa serikali.
Haishangazi kuona gap la wenye nafasi za kupiga dili kama hizi (accumulation of dubious wealth) lilikuwa linapanuka kwa haraka ukilinganisha na wasio na nafasi.
Kazi iliyoko mbele ya Rais Magufuli ni pevu. These are high pressure situations and he has to keep a cool, calm and collected head, otherwise he'll go nut.
Hii nchi ina maajabu na vituko!
Mimi sio kwamba ninasubiri wafikishwe tu kwa pilato bali ninataka wafungwe kifungo kirefu ili liwe fundisho kwa wengine ambao bado wanadhani njia mbadala ya kuwa tajiri kama mfanyakazi wa serikali ni kujipatia kipato cha wizi wa kodi ya wananchi.Tunasubiri wote waliohusika wafikishwe kwa pilato.
WALIO HAI HAWANA AJIRA WAFU WANALPWAPumzi ilikataushuhuda wa mzee Kingunge.
Na walioshiriki katika wizi wafungwe kifungo kirefu ili liwe funzo kwa wengineJambo jema. Pesa hiyo iliyokua inapotea itaelekzwa kwenye huduma za kijamii.
Hata kifungo cha muda mrefu kinatosha badala ya kuwanyonga.Ingelikua ni China hapa kitanzi kingeliwahusu
wew jamaa kwa hiyo ukijiingiza tu ccm tayari unakuwa umesalimika na mfanyakazi hewaNa wanaofaidika na hii mishahara mingine ni hewa na mingine watumishi ambao wameacha kazi na kujiingiza kwenye CCM wanaendelea kula mishahara nauku kazini hawaji kisa ni wanaCCM
Nimeipenda hiyo.Nilikuwa iramba jaman ilikuwa salary slip kwa salary slip jina kwa jina sura kwa sura. Kiukwel wale wadau walikuwa makini. Tunangoja impact sasa
Mhh we dada mwenzangu unaitaji maombi haya siyo mapenzi unahitaji ukombozi wa kifikra.Nisome tena kama hujanielewa.
Hata huyo Joseph mlisema jina kalitoa mfukoni.
Halafu nenda kaisome ilani ya uchaguzi ya CCM uone kilichomo, usiogope siyo msahafu ule.
Mhh we dada mwenzangu unaitaji maombi haya siyo mapenzi unahitaji ukombozi wa kifikra.
wewe na Jk mna undugu?Huo uchafu bila ya Kikwete usingeuona, kwanini hujiulizi, Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa wapi?
Haya yote unaoyaona na matokeo ya Kikwete kuanzisha system ya kuyabaini hayo, jisomee:
Katika repoti yake ya mwaka 2013/14, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alibainisha kuna zaidi ya Sh141.4bn zimelipwa kwa wafanyakazi hewa katika mwaka wa fedha.
Hilo litawezekana Yesu akirudi kuuchukua ulimwengu. Kwa sasa tutasubiri sanaTunasubiri wote waliohusika wafikishwe kwa pilato.