Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 17,023
- 40,833
πππ Acha tu ni huzuni, eti ina camera kali iwe bhojoo mkazi wangeBff Nimelia sana kuona mtu anasifia oppo
πππ Acha tu ni huzuni, eti ina camera kali iwe bhojoo mkazi wangeBff Nimelia sana kuona mtu anasifia oppo
ππππ wii nakupa ss hivi nimeacha ubahiliWewe huyo unavoijua Hela labda urogwe π
ππππ Mnafika mbali hadi kihaya isee . Uzi ufungwe wa oppo abaki na oppo na iPhone 15 pro max abaki na 15πππ Acha tu ni huzuni, eti ina camera kali iwe bhojoo mkazi wange
Bora akudangie umnunulie hiyo simu ya ndoto zake apunguze makasiriko..!! Kaona yy anadanga anapewa oppo anafikiri na wengine wote wadangaji, aje nimpe iphone ya bure kenge mabaka huyoKwahiyo mkuu wewe unadanga kisirisiri? Achana na hawa wanaojionesha nitunuku mimi Kwa siri basi na vile natumia itel wala sina ma haifoni yao hayo yananikera sana
Anajishtukia na kopo lake, anaforce kila mtu atumie kopo hilo. Wengine tumezoea brand bana πππππππ Mnafika mbali hadi kihaya isee . Uzi ufungwe wa oppo abaki na oppo na iPhone 15 pro max abaki na 15
Hata kama jamani ndyo ulete uzi kuisifia oppo
Ni Kweli, Mimi nina One Plus 11 ni kiboko, hata Hiyo Iphone 15 haiingii ila nashangaa watu wakiona kile ki Apple tu wa
One Plus wanatoa simu za moto Sana sema ndo hivyo hazitangazwi sana, kwangu mimi One Plus ndiyo brand yangu bora ya muda wote iPhone wanauzia jina tu ..Ni Kweli, Mimi nina One Plus 11 ni kiboko, hata Hiyo Iphone 15 haiingii ila nashangaa watu wakiona kile ki Apple tu wanapagawaπ
NakaziaMimi binafsi si mpenzi wa iphone kabisa ni mpenzi wa samsung ila hii ya kusema kwamba wanaotumia iphone ni mashoga sijui wadangaji sioni kama imekaa sawa, mambo ya kusema kuna vitu kama simu au magari vya kiume na vya kike ni dalili ya kuwa na stress na roho za kimasikini, hao watengenezaji wenyewe sidhani kama huwa wanasema kwamba hizi wanatengenezea jinsia fulani au fulani
ni tz tu utaona mtu anakwazika kwa jambo ambalo hata hajachangia senti tano..... mimi nisichokipenda basi nitakikataza ndani ya familia yangu mke na watoto wangu tu ila nione ndugu jirani au rafiki ana kitu ambacho kwangu naona ni ushamba basi namuacha na ushamba wake.....Mimi binafsi si mpenzi wa iphone kabisa ni mpenzi wa samsung ila hii ya kusema kwamba wanaotumia iphone ni mashoga sijui wadangaji sioni kama imekaa sawa, mambo ya kusema kuna vitu kama simu au magari vya kiume na vya kike ni dalili ya kuwa na stress na roho za kimasikini, hao watengenezaji wenyewe sidhani kama huwa wanasema kwamba hizi wanatengenezea jinsia fulani au fulani
mbona huko japan haziwaki.... tatizo bongo tunafanya ujanja ujanja alafu tunasingizia ubovu wa kitu umaskini wetu tusitafute pa kuupoozea hakuna gari kiberiti ila umaskini wa kutaka mziki kwa waya za bei nafuu au alam system ya bei nafuu ndio mwiba huoEzo dualis ni viberiti, unaeza paki ukaingia bar unatoka kimekuwa mkaa
π€£π€£π€£π€£ katumika vibaya huyu mdangaji wa kuvamia sherehe za watuNimeumia sana kuona mdangaji anapewa oppo
Huyu maskini wa roho mpk mwili analia kisa iphone π€£π€£π€£π€£Una hasira sana maskini...hebu tulia kwanza na oppo lako....mimi sina iPhone ila league ya simu nishatoka huko mwenzio hizo sio league zangu
Sherehe ipi hiyoππππ€£π€£π€£π€£ katumika vibaya huyu mdangaji wa kuvamia sherehe za watu
Soma huko juu wii ujionee wanawake wajinga wanavyojizalilisha yani miaka hii ya kuzamia sherehe na kuomba kupiga picha na oppo?? Halafu wanamkataza kanuna hasira anamalizia JF na huku wamemchunia ππππSherehe ipi hiyoπππ
Mimi nina yangu kuna mtu kanambia tumia ukichoka naomba niuzie kwa bei unayotaka nguvu ya Iphoneππ»πππUkitaka kujua iphone ni nini itokee shida ya pesa halafu nyie wenye oppo na wa iphone nani atafanya biashara fasta na kuchukua mpunga. Acha kufananisha iphone na vitu vya kijinga