Apple wameleta feature mpya kwa ajili ya afya ya macho kwa watumiaji wa iPhones na iPad

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
Apple wameleta feature mpya kwa ajili ya afya ya macho kwa watumiaji wa Simu za iphones na ipad. Itaweza kukusaidia kulinda macho kutokua makavu wakati unatumia simu.

20230721_153901.jpg


Feature inaitwa " screen distance " inasaidia kuweza kumlinda mtoto au mtu yeyote anayetumia kifaa cha iphone kulinda macho yake kupitia anavyotazama vitu kwenye simu.

Apple wanasema ni muhimu mtu kutumia simu kwa umbali wa inches 12 iwe mbali na macho yake , hata ivyo ni ngumu maana watu wengi wamejizoesha tabia ya kupenda kutumia simu karibu sana na macho.

Kupitia iOS 17 feature hii itaweza kulinda macho dhidi mwanga unaotoka kwenye simu Ili kuwa salama kwani wakati unatumia itaweza kupima umbali wa simu pamoja na macho yako.

Kwaiyo camera haitaweza kuchukua Chochote kuanzia picha au video ikiwa hii feature itakua On.

Ingia setting kwenye iphone Yako Kisha fanya hivi >> chagua screen time >>chagua screen distance>>gusa continue >> weka On.

Baada ya hapo ikitokea umesogeza simu yako karibu basi iphone au ipad yako itakupa taarifa simu yako Iko karibu sana na macho yako.

tafadhari weka mbali Ili kuwa salama Kila ukisogeza karibu utaweza kufanya Chochote mpaka ikae mbali na macho yako.
 
Apple wameleta feature mpya kwa ajili ya afya ya macho kwa watumiaji wa Simu za iphones na ipad. Itaweza kukusaidia kulinda macho kutokua makavu wakati unatumia simu.

View attachment 2695307

Feature inaitwa " screen distance " inasaidia kuweza kumlinda mtoto au mtu yeyote anayetumia kifaa cha iphone kulinda macho yake kupitia anavyotazama vitu kwenye simu.

Apple wanasema ni muhimu mtu kutumia simu kwa umbali wa inches 12 iwe mbali na macho yake , hata ivyo ni ngumu maana watu wengi wamejizoesha tabia ya kupenda kutumia simu karibu sana na macho.

Kupitia iOS 17 feature hii itaweza kulinda macho dhidi mwanga unaotoka kwenye simu Ili kuwa salama kwani wakati unatumia itaweza kupima umbali wa simu pamoja na macho yako.

Kwaiyo camera haitaweza kuchukua Chochote kuanzia picha au video ikiwa hii feature itakua On.

Ingia setting kwenye iphone Yako Kisha fanya hivi >> chagua screen time >>chagua screen distance>>gusa continue >> weka On.

Baada ya hapo ikitokea umesogeza simu yako karibu basi iphone au ipad yako itakupa taarifa simu yako Iko karibu sana na macho yako.

tafadhari weka mbali Ili kuwa salama Kila ukisogeza karibu utaweza kufanya Chochote mpaka ikae mbali na macho yako.

Kaka IOS 17 ishatoka tayari?
 
Mkuu iyo feature ipo kuanzia Android 9 uko Digital wellbeing kwa android inafanya brightness contrast kutokana na mwanga wa background ukiingia gizani mwanga unapungua..ukiingia juani unaongezeka

Hakuna fyucha mpya iOS anachofanya ni kumodify/ujanja ujanja tuu hakuna kipya ndugu mleta uzi

Nasema uongo ndugu zangu wa Tecno,infinix,itel,oppo na samsung??
 
Mkuu iyo feature ipo kuanzia Android 9 uko Digital wellbeing kwa android inafanya brightness contrast kutokana na mwanga wa background ukiingia gizani mwanga unapungua..ukiingia juani unaongezeka

Hakuna fyucha mpya iOS anachofanya ni kumodify/ujanja ujanja tuu hakuna kipya ndugu mleta uzi

Nasema uongo ndugu zangu wa Tecno,infinix,itel,oppo na samsung??

Kwenye iphone kuna kitu kinaitwa True tone na ndio sawa na hicho unachokizungumzia wewe kubadilisha brightness ya simu

Alichokiongelea mleta uzi ni Distance ya simu na macho ya mtumiaji ambayo hii feature itakuja na IOS 17 mwezi wa Tisa.
 
Mkuu iyo feature ipo kuanzia Android 9 uko Digital wellbeing kwa android inafanya brightness contrast kutokana na mwanga wa background ukiingia gizani mwanga unapungua..ukiingia juani unaongezeka

Hakuna fyucha mpya iOS anachofanya ni kumodify/ujanja ujanja tuu hakuna kipya ndugu mleta uzi

Nasema uongo ndugu zangu wa Tecno,infinix,itel,oppo na samsung??
Hiyo feature unayoongelea wewe ipo hadi kwenye simu za Android 6
Mleta mada anaongelea feature nyingine kabisa
 
Unafananisha true tone ? Hii ni tofauti
Sio ku dim light
Huyo jamaa naona kaongelea Auto brightness, Juani mwanga unaongezeka na gizani brightness inapungua
Kwani tofauti ya alichoongea na Auto brightness ni nini?

Mleta mada ndio kaleta hiyo feature mpya ya iOS
 
Si ajabu kitu kipya kwenye iphones kipo kwenye android miaka 7 iliyopita.
 
Back
Top Bottom