Watumia vileo tukutane hapa

Watumia vileo tukutane hapa

nilijaribu plisner sijui nimepatia miaka hyoo yaani nusu glass nikatapika yote.chuo nikajaribu tusker reds castle zoote nikashindwa nikajaribu konyagi yaani harufu tu natapika nikaja viroba mama yangu ni shida ..casltle lite hizi masaint anna nimeshindwa.yaani naishia kumeza mate tu ..yaani ningekuwa bonge la mlevi kupunguza mastress basi tu pombe zimenikataa naishia kulalalala tu
Mkuu Hizo Pombe Kwasasa Zipo Kwenye Mfumo Wa Drip Hupitishi Mdomoni Tena Ila Kwenye Mishipa Unalewa. Ni PM Nikuelekeze.
 
Pombe natumia ila kumwona mtu anaye lilia kujifunza kuwa mlevi siwezi kumuunga mkono.
 
Zanzi plus konyagi utamu wake hauna mfano.
Captain Morgan unalala na viatu, John rider usipokua makini waweza kujiny*a
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom