Watumia vileo tukutane hapa

Watumia vileo tukutane hapa

Pombe nilishaachaga kitambo sana kiniwa shule baada ya kulewa na kumiminia konyagi chupa kumi kubwa kwenye sufuri la uji wa shule shule nzima wakalewa! nikajadakwa nikaswekwa ndani hadi leo pombe siitaki labla unipe wine
shule gani au vidudu?
 
Sasa nani kakuita hapa?wewe sehemu yako ni kule Orlando kwenye ile club iliyopata msukosuko juzi! Au ulikuwa mhanga huko ndio ukakimbiliq huku?
natamanigi kunywa pombe sana ila sijui nililogwa huwa haipiti kabisa mdomoni
sijui nikaombewe wapi
 
nilijaribu plisner sijui nimepatia miaka hyoo yaani nusu glass nikatapika yote.chuo nikajaribu tusker reds castle zoote nikashindwa nikajaribu konyagi yaani harufu tu natapika nikaja viroba mama yangu ni shida ..casltle lite hizi masaint anna nimeshindwa.yaani naishia kumeza mate tu ..yaani ningekuwa bonge la mlevi kupunguza mastress basi tu pombe zimenikataa naishia kulalalala tu
Pole sana unakosa starehe nzuri kuliko zote,,,, anza Smirnoff changanya na soda hiyo hutajua hata kuwa ni pombe ila utajikuta tu umelewa
 
madeal mengi yanapatikana bar, kuondoa stress .kufurahi ,marafiki mwili kupata afya na mengine kibao.angalia wadada wanywaji walivo na maisha mazuri.
Mhh wanywaji kwa kwa kupeana ma-hope.... Hayo mengine naweza kukubaliana na ww kwa atleast 40%, lakini hiyo ya kuongeza afya sidhani, labda kinyume chake!
 
ni ugonjwa sio bure nimelogwa
heri yako usiyekunywa pombe.
1. wenzako cku nyingine wanalala bar
2. kuna cku mtu anakula ada ya shule/chuo, mwingine familia inalala njaa,
3. wengine wanajikojolea au kujinyea
4. wengine wanabakwa
5.wengine wana kopa
6.wengine wanaibiwa mume/mke
7. wengine wanaibiwa/wanatapeliwa
8. wengine wanatapeliwa
9. wengine wanapigana
10. wengine wanapewa talaka
11. wengine badala ya kuwa kama Mengi wamekuwa kama Matonya
12. wengine asubuhi wanadhani ucku
MSHUKURU MUNGU HUNYWI POMBE MAANA WENGI HAWAWEZI KUNYWA KWA KIASI. HUJALOGWA WEWE NI MUNGU HUYO ANAKUPENDA! SIO LAZIMA UNYWE!
 
Pombe tamu sana tena sana, na katika wagunduzi wote huyu aliyegundua hii kitu ndio funga kazi, haswa uikute castle lager ya uvuguvugu nikiwa na pesa labda lije gurudoza kunitoa ndio niondoke.
 
nafikiria kuanzisha thread spesheli kwaajili ya waumini wa ile kitu ya jamaica,sjui moderators watuacha wasiufunge?
 
Wakuu mimi ni mdau mzuri wa pombe aina ya Jebel hzi local beers za ngano zinanishida kwa vile tu mtu unamka na hangover sana hebu nijuze vileo vingine tofauti na jebel nitajie ambavyo vina alcohol kubwa kiasi

Wakuu mimi ni mdau mzuri wa pombe aina ya Jebel hzi local beers za ngano zinanishida kwa vile tu mtu unamka na hangover sana hebu nijuze vileo vingine tofauti na jebel nitajie ambavyo vina alcohol kubwa kiasi
 
Mimi huwa nakunywa ile ambayo huwa inaondoa baridi, ina picha ya mtuna misuli!.......One bottle please!

Kumbe unakunywa koti.......hiyo haina kupaua........
Wacha niite muhudumu........
Na tonic au ice tu.......?....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom