Kwa uchunguzi/utafiti nilioufanya.
Mashabiki/wanachama wa SIMBA SC ni binadamu wenye mvuto,uwezo mkubwa sana wa akili,wajanja na umaarufu wenye heshima kuliko watu wengi katika Bara fulani na nchi husika.
Kama unabisha fatilia wanaoiunga mkono SIMBA SC humu Jamii Forums wengi ni binadamu wenye akili nyingi,maarufu,wajanja n.k
Nimetumia neno binadamu kwa makusudi kabsa.
Kama kuna anaepinga basi apinge kwa hoja sio vioja,mipasho,matusi.
Kifupi SIMBA SC ina binadamu wenye akili sana/akili timamu.Sina maana wengine hawana akili timamu ila kila mtu afanye tafiti zake.
Naomba kuwasilisha.
Mashabiki/wanachama wa SIMBA SC ni binadamu wenye mvuto,uwezo mkubwa sana wa akili,wajanja na umaarufu wenye heshima kuliko watu wengi katika Bara fulani na nchi husika.
Kama unabisha fatilia wanaoiunga mkono SIMBA SC humu Jamii Forums wengi ni binadamu wenye akili nyingi,maarufu,wajanja n.k
Nimetumia neno binadamu kwa makusudi kabsa.
Kama kuna anaepinga basi apinge kwa hoja sio vioja,mipasho,matusi.
Kifupi SIMBA SC ina binadamu wenye akili sana/akili timamu.Sina maana wengine hawana akili timamu ila kila mtu afanye tafiti zake.
Naomba kuwasilisha.