Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Auntie wa iphone zote thread yenu hiii kikubwa uwe na iphone tu



sisi wa wereva tumekuja kuwasindikiza tu na makelele yetu
Auntie wa iphone zote thread yenu hiii kikubwa uwe na iphone tu



sisi wa wereva tumekuja kuwasindikiza tu na makelele yetu
Tubarikiwe sote inshallah GenuineAsante sana.
Kama kuna baraka basi ubarikiwe.
Ila Auntie.Auntie wa iphone zote thread yenu hiii kikubwa uwe na iphone tu
sisi wa wereva tumekuja kuwasindikiza tu na makelele yetu



mambo ya BBM, ila mwaka nadhani umesahau, mimi niliimiliki 2008.Kuna miaka ya 2015 kulikuwa na ujio wa blackberry, unalipa 150,000 kwa mwezi.
zilionekana ni za watu flani classic.... ziko wapi sasa. kuna watu walitombe.sha wee kuzipa.
Ajabu matumizi yake ni kutuma sms za Tshs 54, kupiga simu Tsh 1 kwa sekunde, sawa sawa na wenye siemens c45.
Ila Auntie.
Na Samsung nimwachie nani lakini?


nyie wa iphone lazima muwe na simu mbili hivi kwa nini auntie ebu nijibu basinyie wa iphone lazima muwe na simu mbili hivi kwa nini auntie ebu nijibu basi







Hahahah kwahiyo auntie we umejitoa kabisa
Auntie unanijua....
Nina simu moja line moja....
Ngoja wa iPhone waje watoe majibu![]()
Bora Elon Musk katoa twitter for iphone. Hiyo google pixel hujatumua kwanzia 6, iphone ni takataka tu, umenunua brand. Hakuna maajabu.Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee
Kuna miaka ya 2015 kulikuwa na ujio wa blackberry, unalipa 150,000 kwa mwezi.
zilionekana ni za watu flani classic.... ziko wapi sasa. kuna watu walitombe.sha wee kuzipa.
Ajabu matumizi yake ni kutuma sms za Tshs 54, kupiga simu Tsh 1 kwa sekunde, sawa sawa na wenye siemens c45.
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee


Alitisha sana braza 🤣🤣Masaa matatu?
Akati robo saa tu ukarudisha 🤣🤣
Dogo huna shukrani wewe