Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Kuna miaka ya 2015 kulikuwa na ujio wa blackberry, unalipa 150,000 kwa mwezi.
zilionekana ni za watu flani classic.... ziko wapi sasa. kuna watu walitombe.sha wee kuzipa.
Ajabu matumizi yake ni kutuma sms za Tshs 54, kupiga simu Tsh 1 kwa sekunde, sawa sawa na wenye siemens c45.
mambo ya BBM, ila mwaka nadhani umesahau, mimi niliimiliki 2008.
 
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari

BAADA YA KUJUA SASA

Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli


RAHA ZILIZOPO IPHONE

Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android

Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo

Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline

Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)





Vingine tuongezee
Bora Elon Musk katoa twitter for iphone. Hiyo google pixel hujatumua kwanzia 6, iphone ni takataka tu, umenunua brand. Hakuna maajabu.
 
Kila nikijichanga ninunue simu matatizo yanajitokeza ngoja nikomae na hili infinix mpaka mwezi wa 9 hukoo.
 
Kuna miaka ya 2015 kulikuwa na ujio wa blackberry, unalipa 150,000 kwa mwezi.
zilionekana ni za watu flani classic.... ziko wapi sasa. kuna watu walitombe.sha wee kuzipa.
Ajabu matumizi yake ni kutuma sms za Tshs 54, kupiga simu Tsh 1 kwa sekunde, sawa sawa na wenye siemens c45.

BB mpaka kufikia kuuzwa 150k tayari zilikuwa zimeshatoka mchezoni.

Kipindi BB inasumbua ni 2012 kurudi nyuma huko,ilikuwa ni balaa na nusu.
 
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari

BAADA YA KUJUA SASA

Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli


RAHA ZILIZOPO IPHONE

Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android

Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo

Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline

Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)





Vingine tuongezee

Kwa namna unavyotoa sifa kwa iphone inaonyesha ulikuwa na android ya hovyo hovyo tu.

Ungekuwa na simu ya kariba hiyo ya android usingejimaliza namna hii
 
Back
Top Bottom