thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Uwezo tunao ,changamoto hazikosi ,litapatiwa ufumbuzi,amini,tena bila ya msaada toka njeMimi wala sijasema kwamba hatuna uwezo wa uchunguzi. Kama ulivyokiri kwamba wahalifu wanaweledi mkubwa na mimi ndivyo ninavyosema.
Sasa ikiwa weledi wa wahalifu uko juu ya uwezo wetu? Kwa nini wachunguzi huru wa kimataifa wasije kufanya uchunguzi wa mauaji haya ili kukomesha hujuma hii dhidi ya serikali?
Kwa nini unaanza kuwatetea wauaji kwamba watasema wanaonewa? Maonezi gani yanayozidi mauaji ya watu wasio na hatia ambayo hawa wauaji wanafanya na kuhujumu serikali?
Tafadhli naomba jibu.
Chiwaso niweke sawa hapo,
Uwezo tunao ,changamoto hazikosi, litapatiwa ufumbuzi,amini,tena bila ya msaada toka nje
Huu msimamo wako wa kindezi ,hata sina haja ya kumaliza kuusoma, umesema uheshimiwe and i say https://jamii.app/JFUserGuide that! Watu wa ccm mnapenda sana kujitoa ufaham, yaani kama mmetoka sayari ya uranus au brainwashed. Mnaongea mambo ambayo ni very illogical and biased arguments all the time. Ebu acheni mambo yenu ya kujifanya mandezi.Huu ni mtizamo wangu ,napenda uheshimiwe.
Hivi sasa kumekuwepo na mauaji yanayoendelea nchini ,hili si jambo la kufurahiwa na mtanzania yoyote mpenda aman nchini.mauaji haya yalianzia kibiti .wakati wa zoezi la kumaliza uharifu wa ujambazi nchini,tulishuhudia wanachama na viongozi wasiopungua 30 wa ccm wakiuwawa bila hatia ,hakukua na tension yoyote ndani ya nchi,hatukusikia matamko na malalamiko mazito kama yatolewayo kwa sasa.na mpaka kesho ikafanyika reference ya mauaji ,mauaji ya kibiti na mkuranga huwekwa kando. hatukuona chadema wakikimbilia media za kimataifa kulaani.
Kwa weledi wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hali ile ilithibitiwa.hongereni vyombo vya ulinzi na usalama hasa jeshi la polisi,japo katika kukabiliana na uhalifu mapungu hujitokeza ,naamini mnawasikia wananchi na mtayafanyia kazi mapungufu hayo.
Kinachonifanya nihisi matukio yanayoendelea kwa sasa ni hujuma kwa serikali ya Magufuli ni namna matukio yakitokea ,wafuasi na viongozi wa chadema wanavyokimbilia haraka kwenye vyombo vya nje vya kimataifa kuhabarisha ,ilianza kwa Lissu kuongea na vyombo vya habari akiwa nairobi akiituhumu serikali ya Magufuli bila ya ushahidi thabiti,ukizingatia ni mwanasheria nguli anafahamu taratibu zote ,haikutosha wakamuhamishia Ubelgiji kama kumpatia matibabu lakini ulikua ni mkakati wa kisiasa,ukashindwa.
Kwahiyo chadema hawajachoka ,mpaka lengo lao litimie ,kwa kuona serikali ya magufuli inatengwa na jumuiya ya kimataifa .kujua hili angalia wanavyofurahi wakihisi kuna respond ya wakoloni kwenye njama zao.
Kinachosikitisha ni kila tukio litokeapo la mauaji ya wanachama wao hukimbilia media haraka sana kutoa matamko na tuhuma dhidi ya serikali kuhusika na mauaji, badala ya kuviachia vyombo husika vya kushughulikia uhalifu, hivyo kwa namna flani huingilia kazi ya upelelezi.
Hisia zangu ni kwamba ,Inawezekana chadema wanapopata fununu kwamba kuna viongozi wao wanawakimbia huwawahi na kuwamaliza kisha kukimbilia media kulaani tukio wakati ndo wahusika wakuu.huu mtindo wa kukimbilia vyombo vya habari kutoa matamko serikali iutizame kwa kina ,ni plan yao kujisafisha na uovu.
Mbowe na Mashinji wamekua waoga sana kutokea kwenye vyombo vya dola wanapoitwa kwa mahojiano ,kwanini?,kama wao ni.inocent?,hupima upepo kwanza.
Naiomba serikali ifanye uchunguzi wa kina kuhusiana na kadhia hii ili ukweli ujulikane ,atakayebainika afikishwe kwenye vyombo vya kisheria kwa ajili ya haki kutendeka .bila kujali nafasi ya mtu kisiasa, Cheo chake,dini yake, umri wake jinsia yake,nk.
Wanaofanya uhalifu huu tunao mitaani kwetu,tunaishi nao,tuwafichue.ili watanzania wawajue wabaya wa taifa hili ni kina nani.
,wanaofanya uhalifu huu ni watu wanaohujumu taifa ni lazima wadhibitiwe ,wakiachwa madhara yake ni makubwa sana ,wanapanda chuki miongoni mwa jamii ili mradi malengo yao yafikiwe.
Ilipandwa chuki kwenye dini wakati wa Jakaya viongozi wa dini wakaliona kwa kushirikiana na serikali wakalimaliza,sasa limehamishiwa kwenye siasa kwakisingizio cha demokrasi,demokrasia ni pamoja na kutimiza wajibu wako kwa nchi yako,
,tunavyombo huru vya kikatiba vya kushughulika na changamoto zetu, hususani mahakama,tuitumie kudai haki zetu za kikatiba .
Maanadamano ni haki ya kikatiba ,lakini ni.njia ya mwisho kabisa kuitumia baada ya kushindikana kutatua tatizo kupitia majadiliano mezani au mahakama,
Mwisho-:Napingana na yule alieko los angels marekani Mangi kimambi anayehamasisha maandamano akiwa nje ya nchi,tumpuuze ,hafai,halitakii taifa hili nia njema ,kwani wakati tunaandama kupinga utawala wa serikali iliochaguliwa kidemokrasia ,wapo watakao andamana kuulinda utawala huu ,madhara yake ni makubwa sana .yeye hatadhurika ,kwakua atakua mbali nayo,hafai hata kidogo,ni mwendawazimu pekee anaweza fanyia kazi upuuzi wake
Mkuu uhalifu ni mchakato,na upelelezi ni mchakato pia,kua na subra,himiza amani ya nchi,Litapatiwa ufumbuzi bila kuwakamata na kuwafikisha wauaji kwenye sheria?
Mkuu uhalifu ni mchakato,na upelelezi ni mchakato pia,kua na subra,himiza amani ya nchi,
Yaleyale ya ku isolate matukio,kila siku,ni Walewale wengine nyanithetallest
Kuanzia hapa kwenye ngonjera zako ni lini muuaji na mtesaji aliyewahi kumkamata
Mauaji na mateso ya hawa nani kakamatwa
Alphonse Mawazo
Mbwambo. ( Usa River)
Masudi Mbwana. (Igunga)
Sengondo Mvungi
Kibanda
Lissu
Madiwani (Hananasif na Morogoro
Acheni mzaha wa hovyo
Huu ni mtizamo wangu ,napenda uheshimiwe.
Hivi sasa kumekuwepo na mauaji yanayoendelea nchini ,hili si jambo la kufurahiwa na mtanzania yoyote mpenda aman nchini.mauaji haya yalianzia kibiti .wakati wa zoezi la kumaliza uharifu wa ujambazi nchini,tulishuhudia wanachama na viongozi wasiopungua 30 wa ccm wakiuwawa bila hatia ,hakukua na tension yoyote ndani ya nchi,hatukusikia matamko na malalamiko mazito kama yatolewayo kwa sasa.na mpaka kesho ikafanyika reference ya mauaji ,mauaji ya kibiti na mkuranga huwekwa kando. hatukuona chadema wakikimbilia media za kimataifa kulaani.
Kwa weledi wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hali ile ilithibitiwa.hongereni vyombo vya ulinzi na usalama hasa jeshi la polisi,japo katika kukabiliana na uhalifu mapungu hujitokeza ,naamini mnawasikia wananchi na mtayafanyia kazi mapungufu hayo.
Kinachonifanya nihisi matukio yanayoendelea kwa sasa ni hujuma kwa serikali ya Magufuli ni namna matukio yakitokea ,wafuasi na viongozi wa chadema wanavyokimbilia haraka kwenye vyombo vya nje vya kimataifa kuhabarisha ,ilianza kwa Lissu kuongea na vyombo vya habari akiwa nairobi akiituhumu serikali ya Magufuli bila ya ushahidi thabiti,ukizingatia ni mwanasheria nguli anafahamu taratibu zote ,haikutosha wakamuhamishia Ubelgiji kama kumpatia matibabu lakini ulikua ni mkakati wa kisiasa,ukashindwa.
Kwahiyo chadema hawajachoka ,mpaka lengo lao litimie ,kwa kuona serikali ya magufuli inatengwa na jumuiya ya kimataifa .kujua hili angalia wanavyofurahi wakihisi kuna respond ya wakoloni kwenye njama zao.
Kinachosikitisha ni kila tukio litokeapo la mauaji ya wanachama wao hukimbilia media haraka sana kutoa matamko na tuhuma dhidi ya serikali kuhusika na mauaji, badala ya kuviachia vyombo husika vya kushughulikia uhalifu, hivyo kwa namna flani huingilia kazi ya upelelezi.
Hisia zangu ni kwamba ,Inawezekana chadema wanapopata fununu kwamba kuna viongozi wao wanawakimbia huwawahi na kuwamaliza kisha kukimbilia media kulaani tukio wakati ndo wahusika wakuu.huu mtindo wa kukimbilia vyombo vya habari kutoa matamko serikali iutizame kwa kina ,ni plan yao kujisafisha na uovu.
Mbowe na Mashinji wamekua waoga sana kutokea kwenye vyombo vya dola wanapoitwa kwa mahojiano ,kwanini?,kama wao ni.inocent?,hupima upepo kwanza.
Naiomba serikali ifanye uchunguzi wa kina kuhusiana na kadhia hii ili ukweli ujulikane ,atakayebainika afikishwe kwenye vyombo vya kisheria kwa ajili ya haki kutendeka .bila kujali nafasi ya mtu kisiasa, Cheo chake,dini yake, umri wake jinsia yake,nk.
Wanaofanya uhalifu huu tunao mitaani kwetu,tunaishi nao,tuwafichue.ili watanzania wawajue wabaya wa taifa hili ni kina nani.
,wanaofanya uhalifu huu ni watu wanaohujumu taifa ni lazima wadhibitiwe ,wakiachwa madhara yake ni makubwa sana ,wanapanda chuki miongoni mwa jamii ili mradi malengo yao yafikiwe.
Ilipandwa chuki kwenye dini wakati wa Jakaya viongozi wa dini wakaliona kwa kushirikiana na serikali wakalimaliza,sasa limehamishiwa kwenye siasa kwakisingizio cha demokrasi,demokrasia ni pamoja na kutimiza wajibu wako kwa nchi yako,
,tunavyombo huru vya kikatiba vya kushughulika na changamoto zetu, hususani mahakama,tuitumie kudai haki zetu za kikatiba .
Maanadamano ni haki ya kikatiba ,lakini ni.njia ya mwisho kabisa kuitumia baada ya kushindikana kutatua tatizo kupitia majadiliano mezani au mahakama,
Mwisho-:Napingana na yule alieko los angels marekani Mangi kimambi anayehamasisha maandamano akiwa nje ya nchi,tumpuuze ,hafai,halitakii taifa hili nia njema ,kwani wakati tunaandama kupinga utawala wa serikali iliochaguliwa kidemokrasia ,wapo watakao andamana kuulinda utawala huu ,madhara yake ni makubwa sana .yeye hatadhurika ,kwakua atakua mbali nayo,hafai hata kidogo,ni mwendawazimu pekee anaweza fanyia kazi upuuzi wake
Kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti,anyway naheshimu maoni yakoKwa hiyo ni revenge ya mauwaji ya kibiti ama? angalia sasa unavoandika kijinga hadi utawaumbua waliokutuma.
Siku utakapoanza kuwa mtumwa wa fikra zako mwenyewe ukaacha kuwa tegemezi wa fikra za wanasiasa uchwara walevi wa madaraka ndipo utaweza kuwa na mchango chanya kwenye jamiiMimi kwa upande wangun SERIKALI IWACHUNGUZE SANA HAWA VIONGOZI WA CHADEMA this GUYS ni mafia....
Kinachofanyika sasa ni wao kuwadhuru viongozi wao wenyewe kwa lengo la kutengeneza picha ya kuihusisha serikali na CCM kwenye huu uchafu wao na kufanikisha lengo lao kuu la kuichafua TANZANIA kimataifa
Maana hii ndio option kubwa walio baki nayo kupambana na MAGUFULI....
Mauaji ya namna hii tutaendelea sana kuyasikia kwenye utwala huu wa AWAMU ya tano....
Nani ndani ya NCHI hii anaweza kukataa ya kuwa MAGUFULI kawashika vibaya hawa WAPINZANI???.....sasa haya mauaji ni njia mbadala ya kupamban na MAGUFULI ...MKUBALI MKATAE HUU NDIO UKWELI......
Na mtambue kabsa huyu Mkiti wenu hii njia ndio kinga na salama yake ya kuendelea kuwa M/kiti wa maisha hapo chamani......
SERIKALI CHUNGUZENI MBOWE,LEMA NA MREMA ipasavyo hawa watu wanachafua AMANI ya nchi yetu.......
Mfano mdogo tu hivi kweli ingekuwa si wao waliohusika na UPOTEVU wa BEN SAANANE kweli wangekuwa kimya namna hii???ACHENI MASIHARA...kuna mchezo unachezwa na hawa watu....
Kiashiria kingne ni JAMAA NI MUOGA KWELI KUITIKIA WITO WA POLISI(NA hizi huwa ni sifa kuu za watenda maovu).....akisikiaga wito ndio safari ndio zinatokea...rejea ISHU YA MADAWA YA KULEVYA na wito wa juzi wa maandamano......na mengne mengi
LEO HII HAYUPO NCHINI ni huyu huyu ndiye aliyekuwa kiele ele kujifanya anaona HURUMA kifo cha JOHN kiongozi WA chadema pale KINONDONI lakini kwenye MAZISHI YAKE hata hakuonekana......HAPA NDIO WATANZANI WATAMBUE MBOWE NI MNAFIKI nNA MTU HATARI SANA.....afu kwanini WATU WANAMUHUSISHA NA BAADHI YA MAUAJI kama yeye ni KIONGOZI safi kweli kweli...???LISEMWALO LIPO
They are playing this very smart.........
Mimi kwa upande wangun SERIKALI IWACHUNGUZE SANA HAWA VIONGOZI WA CHADEMA this GUYS ni mafia....
Kinachofanyika sasa ni wao kuwadhuru viongozi wao wenyewe kwa lengo la kutengeneza picha ya kuihusisha serikali na CCM kwenye huu uchafu wao na kufanikisha lengo lao kuu la kuichafua TANZANIA kimataifa
Maana hii ndio option kubwa walio baki nayo kupambana na MAGUFULI....
Mauaji ya namna hii tutaendelea sana kuyasikia kwenye utwala huu wa AWAMU ya tano....
Nani ndani ya NCHI hii anaweza kukataa ya kuwa MAGUFULI kawashika vibaya hawa WAPINZANI???.....sasa haya mauaji ni njia mbadala ya kupamban na MAGUFULI ...MKUBALI MKATAE HUU NDIO UKWELI......
Na mtambue kabsa huyu Mkiti wenu hii njia ndio kinga na salama yake ya kuendelea kuwa M/kiti wa maisha hapo chamani......
SERIKALI CHUNGUZENI MBOWE,LEMA NA MREMA ipasavyo hawa watu wanachafua AMANI ya nchi yetu.......
Mfano mdogo tu hivi kweli ingekuwa si wao waliohusika na UPOTEVU wa BEN SAANANE kweli wangekuwa kimya namna hii???ACHENI MASIHARA...kuna mchezo unachezwa na hawa watu....
Kiashiria kingne ni JAMAA NI MUOGA KWELI KUITIKIA WITO WA POLISI(NA hizi huwa ni sifa kuu za watenda maovu).....akisikiaga wito ndio safari ndio zinatokea...rejea ISHU YA MADAWA YA KULEVYA na wito wa juzi wa maandamano......na mengne mengi
LEO HII HAYUPO NCHINI ni huyu huyu ndiye aliyekuwa kiele ele kujifanya anaona HURUMA kifo cha JOHN kiongozi WA chadema pale KINONDONI lakini kwenye MAZISHI YAKE hata hakuonekana......HAPA NDIO WATANZANI WATAMBUE MBOWE NI MNAFIKI nNA MTU HATARI SANA.....afu kwanini WATU WANAMUHUSISHA NA BAADHI YA MAUAJI kama yeye ni KIONGOZI safi kweli kweli...???LISEMWALO LIPO
They are playing this very smart.........
Mkuu ni maoni yako ,naheshimuHuu msimamo wako wa kindezi ,hata sina haja ya kumaliza kuusoma, umesema uheshimiwe and i say **** that! Watu wa ccm mnapenda sana kujitoa ufaham, yaani kama mmetoka sayari ya uranus au brainwashed. Mnaongea mambo ambayo ni very illogical and biased arguments all the time. Ebu acheni mambo yenu ya kujifanya mandezi.
Serikali haifanyi kazi kama unavyotaka weweMtu anaweza jipiga risasi?mbona mkuu wa majeshi haonyeshi kujali kabisa yatokeyao zaidi ya kutuma salamu?mbona haoni kama ni janga kwa taifa na akemee kila katika mikutano yake?mbona hatoi amri hao Watu wasiojulikana a.k.a kikosi kazi kife na wakamatwe?