Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,397
- 6,364
Mbwa hata awe mkali vipi hawezi kuung'ata mkia wake km niwao basi hao Watu wasiojulikana Watendelea kuwa WasiojulikanaKwani uongo??
Hebu jaribu kujiuliza kila tukio linalotokea Polisi wanaapa kuwa waliohusika.lazima.watiwe mkononi.
Inapita siku, unapita mwezi, unakatika mwaka bila kusikia hata mtuhumiwa mmoja kukamatwa!
Hivi katika akili ya kawaida tu ni kwanini ttusiwaimplicate wao Polisi na Usalama wa Taifa katika matokeo hayo maovu??