Watu wengi wanaamini Polisi na Usalama wa Taifa ndio watekaji na wapiga risasi (Watu wasiojulikana)

Mtu aliyepitia mafunzo ya kutumia silaha hawezi kutumia risasi 30+ kwenye short range halafu akaishia kumpapasa mtu kwenye nyonga na miguu.Never

Hata kama angekuwa anazirusha kwa mikono Tu hiyo idadi mngezika mtu.

Kwa snipers,mwili wa binadamu Ni kichwa Tu akikutwanga miguu anahesabu kakukosa.

Kama nakuona una watetea watu flani ivii ila subri likufike hapo uta toa tamko radhi-
 
Heshima kwenu wakuu,

Sasa hivi Taifa lipo kwenye sintofahamu kutokana na mauaji na utekaji wa watanzaia. Na Watu wengi wanaamini Polisi na Usalama wa Taifa ndio watekaji na wapiga risasi ( Watu wasiojulikana).

Sasa nashauri ili vyombo hivi muhimu vijisafishe. Watoe tamko hadharani kwamba hawahusiki na waseme nani anahusika. Waazishe operation na Kampeni za kutafuta hawa Watu wasiojulikana.

Vinginevyo hii Nchi itakuwa umevamiwa. Ukute ni watu wanatuchafua kama nchi ili Tanzania ionekane sio salama.

Kama Taifa tuungane kuwafichua hawa watu wasiojulikana ili kuvisafisha vyombo vyetu vya Usalama. Tushikamane kufichua wote wanaotenda maovu.

Akwilina, Mawazo wametangulia mbele ya haki. Kuna wenzetu wameokotwa kwenye viroba Coco beach na wengine Mto Ruvu. Lissu na wengine wengi wameponea chupuchupu. Kuna waliomwagiwa tindikali.

Kuna Maasikali wengi na Wanakijiji wengi wa Ikwiriri mkoani Pwani wameuawa.

Hii kitu viongozi hawaoneshi kusikitishwa. Kusikitika ni pamoja na Kujiuzulu kuonesha uwajibikaji.

Siamini Kama Polisi. Usalama wa Taifa au CHADEMA ndio wanaohusika na haya Mauaji ya Akwilina. Hawa watu wanaotugombanisha tuwafichue. Na haya yanayoendelea yasitugawe bali tushikamane kushinda fitina. Pamoja tunaweza

Kama taifa tujisafishe.

Sasa yatosha.
Huitaji kuwa na akili sana kujua kuwa hao uliowataja, Polisi na usalama ndio wahusika wakuu, kama hawahusiki na wahusika hawajulikani basi hawapaswi kuwa walinzi wa nchi na kazi imewashinda.
 
Kwa hiyo sasa unataka kujenga hoja gani hapa. Basi huyo mtu alikuwa sniper, hakuwa, that's not our concern. Tunachodai ni kwa nini hawajatiwa nguvuni.......???????

Tukishawajua ndo tutawauliza kwa nini "wakose target from a close range wakati malipo tuliwaahidi mazuri tu".

Wewe ni mwafrika asilia 1467 una bishana na vitu vilivyo wazi na dhahiri ili mradi ushabiki tuu ,ukute basi umeenda skuli na elimu yako nzurii tuu,mzungu mmoja aliniambia ivii,waafrika kumi walio soma vyema imani zao ni sawa sawa na mzungu moja ambae hajenda ckuli wala ujutii kusto pata elimu-basi nilieka nae bifu mpka leo-lakini kila nilichunguza naona kama yana niingia ingia vilee niki tizama serikali zetu na mifumo yake,huenda nikamuunga mkono baada ya kujiridhisha kupitia watu kama wewe huku niki endelea na uchunguzi
 
Mtu aliyepitia mafunzo ya kutumia silaha hawezi kutumia risasi 30+ kwenye short range halafu akaishia kumpapasa mtu kwenye nyonga na miguu.Never

Hata kama angekuwa anazirusha kwa mikono Tu hiyo idadi mngezika mtu.

Kwa snipers,mwili wa binadamu Ni kichwa Tu akikutwanga miguu anahesabu kakukosa.
Kumbuka Mungu yupo hutetea pale penye uovu kwa hiyo hat umchome kisu cha kifua unaweza usilete madhara
 
Mtu aliyepitia mafunzo ya kutumia silaha hawezi kutumia risasi 30+ kwenye short range halafu akaishia kumpapasa mtu kwenye nyonga na miguu.Never

Hata kama angekuwa anazirusha kwa mikono Tu hiyo idadi mngezika mtu.

Kwa snipers,mwili wa binadamu Ni kichwa Tu akikutwanga miguu anahesabu kakukosa.
Don't underestimate the Power of Mighty God.
 
Heshima kwenu wakuu,

Sasa hivi Taifa lipo kwenye sintofahamu kutokana na mauaji na utekaji wa watanzaia. Na Watu wengi wanaamini Polisi na Usalama wa Taifa ndio watekaji na wapiga risasi ( Watu wasiojulikana).

Sasa nashauri ili vyombo hivi muhimu vijisafishe. Watoe tamko hadharani kwamba hawahusiki na waseme nani anahusika. Waazishe operation na Kampeni za kutafuta hawa Watu wasiojulikana.

Vinginevyo hii Nchi itakuwa umevamiwa. Ukute ni watu wanatuchafua kama nchi ili Tanzania ionekane sio salama.

Kama Taifa tuungane kuwafichua hawa watu wasiojulikana ili kuvisafisha vyombo vyetu vya Usalama. Tushikamane kufichua wote wanaotenda maovu.

Akwilina, Mawazo wametangulia mbele ya haki. Kuna wenzetu wameokotwa kwenye viroba Coco beach na wengine Mto Ruvu. Lissu na wengine wengi wameponea chupuchupu. Kuna waliomwagiwa tindikali.

Kuna Maasikali wengi na Wanakijiji wengi wa Ikwiriri mkoani Pwani wameuawa.

Hii kitu viongozi hawaoneshi kusikitishwa. Kusikitika ni pamoja na Kujiuzulu kuonesha uwajibikaji.

Siamini Kama Polisi. Usalama wa Taifa au CHADEMA ndio wanaohusika na haya Mauaji ya Akwilina.

Arusha kwenye mkutano wa Chadema bomu lililipuka na kuua watu. Kanisani Arusha bomu lililipuka na kuua watu. Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

Wameuawa Polisi 10 Viongozi wa vijiji 30 na Raia 3 huko Kibiti,Ikwiriri na Mkuranga..Wanaharakati kimyaaa!

TANZIA: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Hawa watu wanaotugombanisha tuwafichue. Na haya yanayoendelea yasitugawe bali tushikamane kushinda fitina. Pamoja tunaweza

Kama taifa tujisafishe.

Sasa yatosha.
Sio bure katumwa huyu
 
Kwani Kibiti ilichukua miezi mingapi mpaka kupatikana kwa suluhisho la kudumu?

Eti watanzania wa sasa ni wajanja! Hata Mimi nitakuwa mjanja au unadhani Mimi siyo mtanzania.

Kila mtu yuko huru kuamini anavyotaka kwa hiyo hata wewe uko sahihi tu.
Nakukemea ukome na usirudie tena kuleta wazo la kipumbavu.
Mtu mwerevu akikuambia jambo la kipuuzi huku akijua ni la kipuuzi, ukilikubali anakudharau. Wazo lako ni la kipuuzi.. Nimekudharau. Halafu uache siasa na ujinga ujinga. Mrudisheni Akwilina
 
Huu ni mtizamo wangu ,napenda uheshimiwe.

Hivi sasa kumekuwepo na mauaji yanayoendelea nchini ,hili si jambo la kufurahiwa na mtanzania yoyote mpenda aman nchini.mauaji haya yalianzia kibiti .wakati wa zoezi la kumaliza uharifu wa ujambazi nchini,tulishuhudia wanachama na viongozi wasiopungua 30 wa ccm wakiuwawa bila hatia ,hakukua na tension yoyote ndani ya nchi,hatukusikia matamko na malalamiko mazito kama yatolewayo kwa sasa.na mpaka kesho ikafanyika reference ya mauaji ,mauaji ya kibiti na mkuranga huwekwa kando. hatukuona chadema wakikimbilia media za kimataifa kulaani.

Kwa weledi wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hali ile ilithibitiwa.hongereni vyombo vya ulinzi na usalama hasa jeshi la polisi,japo katika kukabiliana na uhalifu mapungu hujitokeza ,naamini mnawasikia wananchi na mtayafanyia kazi mapungufu hayo.

Kinachonifanya nihisi matukio yanayoendelea kwa sasa ni hujuma kwa serikali ya Magufuli ni namna matukio yakitokea ,wafuasi na viongozi wa chadema wanavyokimbilia haraka kwenye vyombo vya nje vya kimataifa kuhabarisha ,ilianza kwa Lissu kuongea na vyombo vya habari akiwa nairobi akiituhumu serikali ya Magufuli bila ya ushahidi thabiti,ukizingatia ni mwanasheria nguli anafahamu taratibu zote ,haikutosha wakamuhamishia Ubelgiji kama kumpatia matibabu lakini ulikua ni mkakati wa kisiasa,ukashindwa.

Kwahiyo chadema hawajachoka ,mpaka lengo lao litimie ,kwa kuona serikali ya magufuli inatengwa na jumuiya ya kimataifa .kujua hili angalia wanavyofurahi wakihisi kuna respond ya wakoloni kwenye njama zao.

Kinachosikitisha ni kila tukio litokeapo la mauaji ya wanachama wao hukimbilia media haraka sana kutoa matamko na tuhuma dhidi ya serikali kuhusika na mauaji, badala ya kuviachia vyombo husika vya kushughulikia uhalifu, hivyo kwa namna flani huingilia kazi ya upelelezi.

Hisia zangu ni kwamba ,Inawezekana chadema wanapopata fununu kwamba kuna viongozi wao wanawakimbia huwawahi na kuwamaliza kisha kukimbilia media kulaani tukio wakati ndo wahusika wakuu.huu mtindo wa kukimbilia vyombo vya habari kutoa matamko serikali iutizame kwa kina ,ni plan yao kujisafisha na uovu.

Mbowe na Mashinji wamekua waoga sana kutokea kwenye vyombo vya dola wanapoitwa kwa mahojiano ,kwanini?,kama wao ni.inocent?,hupima upepo kwanza.

Naiomba serikali ifanye uchunguzi wa kina kuhusiana na kadhia hii ili ukweli ujulikane ,atakayebainika afikishwe kwenye vyombo vya kisheria kwa ajili ya haki kutendeka .bila kujali nafasi ya mtu kisiasa, Cheo chake,dini yake, umri wake jinsia yake,nk.

Wanaofanya uhalifu huu tunao mitaani kwetu,tunaishi nao,tuwafichue.ili watanzania wawajue wabaya wa taifa hili ni kina nani.

,wanaofanya uhalifu huu ni watu wanaohujumu taifa ni lazima wadhibitiwe ,wakiachwa madhara yake ni makubwa sana ,wanapanda chuki miongoni mwa jamii ili mradi malengo yao yafikiwe.
Ilipandwa chuki kwenye dini wakati wa Jakaya viongozi wa dini wakaliona kwa kushirikiana na serikali wakalimaliza,sasa limehamishiwa kwenye siasa kwakisingizio cha demokrasi,demokrasia ni pamoja na kutimiza wajibu wako kwa nchi yako,

,tunavyombo huru vya kikatiba vya kushughulika na changamoto zetu, hususani mahakama,tuitumie kudai haki zetu za kikatiba .
Maanadamano ni haki ya kikatiba ,lakini ni.njia ya mwisho kabisa kuitumia baada ya kushindikana kutatua tatizo kupitia majadiliano mezani au mahakama,

Mwisho-:Napingana na yule alieko los angels marekani Mangi kimambi anayehamasisha maandamano akiwa nje ya nchi,tumpuuze ,hafai,halitakii taifa hili nia njema ,kwani wakati tunaandama kupinga utawala wa serikali iliochaguliwa kidemokrasia ,wapo watakao andamana kuulinda utawala huu ,madhara yake ni makubwa sana .yeye hatadhurika ,kwakua atakua mbali nayo,hafai hata kidogo,ni mwendawazimu pekee anaweza fanyia kazi upuuzi wake
 
Hahahaaa hili la njaa nalo bana...

Hao wanaolialia eti kuna njaa hebu jaribu kuuliza nani kati yao hajala leo na hutompata hata mmoja.

Tena wengine na mijitambi yao unawakuta huku kwenye mitandao wakidai eti kuna njaa.

Toka lini kwenye njaa ukakuta watu wana mijitambi?

Watu wazushi mno aisee.

Na chuki zao kwa Magu ndo zinawafanya wawe maju.ha kabisa.

Signature
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
 
Huu ni mtizamo wangu ,napenda uheshimiwe.

Hivi sasa kumekuwepo na mauaji yanayoendelea nchini ,hili si jambo la kufurahiwa na mtanzania yoyote mpenda aman nchini.mauaji haya yalianzia kibiti .wakati wa zoezi la kumaliza uharifu wa ujambazi nchini,tulishuhudia wanachama na viongozi wasiopungua 30 wa ccm wakiuwawa bila hatia ,hakukua na tension yoyote ndani ya nchi,hatukusikia matamko na malalamiko mazito kama yatolewayo kwa sasa.na mpaka kesho ikafanyika reference ya mauaji ,mauaji ya kibiti na mkuranga huwekwa kando. hatukuona chadema wakikimbilia media za kimataifa kulaani.

Kwa weledi wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hali ile ilithibitiwa.hongereni vyombo vya ulinzi na usalama hasa jeshi la polisi,japo katika kukabiliana na uhalifu mapungu hujitokeza ,naamini mnawasikia wananchi na mtayafanyia kazi mapungufu hayo.

Kinachonifanya nihisi matukio yanayoendelea kwa sasa ni hujuma kwa serikali ya Magufuli ni namna matukio yakitokea ,wafuasi na viongozi wa chadema wanavyokimbilia haraka kwenye vyombo vya nje vya kimataifa kuhabarisha ,ilianza kwa Lissu kuongea na vyombo vya habari akiwa nairobi akiituhumu serikali ya Magufuli bila ya ushahidi thabiti,ukizingatia ni mwanasheria nguli anafahamu taratibu zote ,haikutosha wakamuhamishia Ubelgiji kama kumpatia matibabu lakini ulikua ni mkakati wa kisiasa,ukashindwa.

Kwahiyo chadema hawajachoka ,mpaka lengo lao litimie ,kwa kuona serikali ya magufuli inatengwa na jumuiya ya kimataifa .kujua hili angalia wanavyofurahi wakihisi kuna respond ya wakoloni kwenye njama zao.

Kinachosikitisha ni kila tukio litokeapo la mauaji ya wanachama wao hukimbilia media haraka sana kutoa matamko na tuhuma dhidi ya serikali kuhusika na mauaji, badala ya kuviachia vyombo husika vya kushughulikia uhalifu, hivyo kwa namna flani huingilia kazi ya upelelezi.

Hisia zangu ni kwamba ,Inawezekana chadema wanapopata fununu kwamba kuna viongozi wao wanawakimbia huwawahi na kuwamaliza kisha kukimbilia media kulaani tukio wakati ndo wahusika wakuu.huu mtindo wa kukimbilia vyombo vya habari kutoa matamko serikali iutizame kwa kina ,ni plan yao kujisafisha na uovu.

Mbowe na Mashinji wamekua waoga sana kutokea kwenye vyombo vya dola wanapoitwa kwa mahojiano ,kwanini?,kama wao ni.inocent?,hupima upepo kwanza.

Naiomba serikali ifanye uchunguzi wa kina kuhusiana na kadhia hii ili ukweli ujulikane ,atakayebainika afikishwe kwenye vyombo vya kisheria kwa ajili ya haki kutendeka .bila kujali nafasi ya mtu kisiasa, Cheo chake,dini yake, umri wake jinsia yake,nk.

Wanaofanya uhalifu huu tunao mitaani kwetu,tunaishi nao,tuwafichue.ili watanzania wawajue wabaya wa taifa hili ni kina nani.

,wanaofanya uhalifu huu ni watu wanaohujumu taifa ni lazima wadhibitiwe ,wakiachwa madhara yake ni makubwa sana ,wanapanda chuki miongoni mwa jamii ili mradi malengo yao yafikiwe.
Ilipandwa chuki kwenye dini wakati wa Jakaya viongozi wa dini wakaliona kwa kushirikiana na serikali wakalimaliza,sasa limehamishiwa kwenye siasa kwakisingizio cha demokrasi,demokrasia ni pamoja na kutimiza wajibu wako kwa nchi yako,

,tunavyombo huru vya kikatiba vya kushughulika na changamoto zetu, hususani mahakama,tuitumie kudai haki zetu za kikatiba .
Maanadamano ni haki ya kikatiba ,lakini ni.njia ya mwisho kabisa kuitumia baada ya kushindikana kutatua tatizo kupitia majadiliano mezani au mahakama,

Mwisho-:Napingana na yule alieko los angels marekani Mangi kimambi anayehamasisha maandamano akiwa nje ya nchi,tumpuuze ,hafai,halitakii taifa hili nia njema ,kwani wakati tunaandama kupinga utawala wa serikali iliochaguliwa kidemokrasia ,wapo watakao andamana kuulinda utawala huu ,madhara yake ni makubwa sana .yeye hatadhurika ,kwakua atakua mbali nayo,hafai hata kidogo,ni mwendawazimu pekee anaweza fanyia kazi upuuzi wake


Serikali inahujumiwa!!!!!!!!. Lakini imeshindwa kuwabaini wauaji!!!!!!!.

Hii ni dhahiri kwamba, wauaji hawa wako juu sana kuliko uwezo wa serikali.

SASA KINACHOFANYA SERIKALI IKATAE KULETA WACHUNGUZI HURU WA KIMATAIFA, NI NINI? UKINIJUBU HILI NITAENDELEA KUCHANGIA.
 
Back
Top Bottom