thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,233
- 9,059
Uwezo tunao ,changamoto hazikosi ,litapatiwa ufumbuzi,amini,tena bila ya msaada toka njeMimi wala sijasema kwamba hatuna uwezo wa uchunguzi. Kama ulivyokiri kwamba wahalifu wanaweledi mkubwa na mimi ndivyo ninavyosema.
Sasa ikiwa weledi wa wahalifu uko juu ya uwezo wetu? Kwa nini wachunguzi huru wa kimataifa wasije kufanya uchunguzi wa mauaji haya ili kukomesha hujuma hii dhidi ya serikali?
Kwa nini unaanza kuwatetea wauaji kwamba watasema wanaonewa? Maonezi gani yanayozidi mauaji ya watu wasio na hatia ambayo hawa wauaji wanafanya na kuhujumu serikali?
Tafadhli naomba jibu.