Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 6,916
- 7,522
risasi za juu zinaua mtu kwenye daladala... ccm oyeeeeeeee . Tuliahidiwa na Mambosasa atatoa taarifa ya watu wanaoteswa baadae kutupwa kwenye viroba baharini mpaka leo kimya..ccm oyeeeeeee...saa nane na wengineo wameuwa kinyama na kufukiwa kusikojulikana kwa kuhoji phd ya mafuta ya korosho..ccm oyeeeeeee...
Yanayotokea Ethiopia si muda mrefu yatakuja tz....ccm oyeeee
Yanayotokea Ethiopia si muda mrefu yatakuja tz....ccm oyeeee