Ana vyeti vya bibi na babu yake? Ajiandae kuitwa uhamiaji!
Kesho nenda uhamiaji uchunguzwe
Tutafika tu ni swala la mudaNusu ya watanzania tukijitoa kiasi iki mbona atabadilika tu tatizo letu hatujaamua hatujafika kwenye the point of no return.
Duh! Wapi hiyoooooKwa hali ilivyo uvumilivu na upole wa wa Tanzania umeishiwa moralli
Asubuuutu huyo kesho ataikanusha hatari...utaambiwa photoshop hyo. Point of no return bado sana wanguNusu ya watanzania tukijitoa kiasi iki mbona atabadilika tu tatizo letu hatujaamua hatujafika kwenye the point of no return.
Hatuhitaji abadilike, bali tunataka atoke kabisa hatufaiNusu ya watanzania tukijitoa kiasi iki mbona atabadilika tu tatizo letu hatujaamua hatujafika kwenye the point of no return.
Huyu mtu wa wapi ,hata wewe mwandishi nikiandika Sky Eclat mumeo kakuchoka haimanisha wanaume wote wamekuchoka,muache aandike haitusaidii chochote ni haki yake.