Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Wakuu
Kufuatia mwenendo mbovu wa timu ya Simba, ni wazi sasa mashabiki wamechoka kwenda taifa na kurudi na maumivu
Mashabiki wameonekana kuchoka na kugomea kutokea uwanjani,, huku mtaani, mitandaoni kote watu wanasema mechi atashangilia mangungu
Ukipita comments kwenye page zote za Simba zinaonesha mashabiki wamechoka kabisa hivyo hii inaashiria kwamba Simba inaendea kucheza mechi hii bila ya mashabiki wake Bora wa mashindano ya African League
Kufuatia mwenendo mbovu wa timu ya Simba, ni wazi sasa mashabiki wamechoka kwenda taifa na kurudi na maumivu
Mashabiki wameonekana kuchoka na kugomea kutokea uwanjani,, huku mtaani, mitandaoni kote watu wanasema mechi atashangilia mangungu
Ukipita comments kwenye page zote za Simba zinaonesha mashabiki wamechoka kabisa hivyo hii inaashiria kwamba Simba inaendea kucheza mechi hii bila ya mashabiki wake Bora wa mashindano ya African League