franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Ukweli mchunguuu Ni kuwa wachezaji Kama CHAMA, KAPOMBE, ZIMBWE, INONGA nk. Wao pia ni binadamu wanachoka.
Kila mechi wao, kuanzia NBC mpaka kimataifa hata mechi za kirafiki ni wao wao tu hata ingekuwa wewe ungeweza ku maintain?
Kapombe, Zimbwe wao ndio kabisa wamechoka kuanzia mwili mpaka akili yaani mechi zotee wao tu zaidi ya miaka mitano....aah!! hii sio kweli bhanaa
Siwezi walaumu Wala kumlaumu kocha kwa sababu ipo wazi hawana mbadala/mtu wa kuwapa changamoto...na hata aje kocha gani bado wataendelea kucheza tu halafu tutaendelea kumtafuta mchawii na kufukuza makocha kila siku na Nusu fainali tutaisikia tu.
VIONGOZI MTUPISHE. Ni muda Sasa wa Simba kupata viongozi sahihi wenye profession ya mpira na sio wana siasa kwenye mpira (alishawahi kusema mecky mexime kocha wa kagera)
Nimemaliza!
Kila mechi wao, kuanzia NBC mpaka kimataifa hata mechi za kirafiki ni wao wao tu hata ingekuwa wewe ungeweza ku maintain?
Kapombe, Zimbwe wao ndio kabisa wamechoka kuanzia mwili mpaka akili yaani mechi zotee wao tu zaidi ya miaka mitano....aah!! hii sio kweli bhanaa
Siwezi walaumu Wala kumlaumu kocha kwa sababu ipo wazi hawana mbadala/mtu wa kuwapa changamoto...na hata aje kocha gani bado wataendelea kucheza tu halafu tutaendelea kumtafuta mchawii na kufukuza makocha kila siku na Nusu fainali tutaisikia tu.
VIONGOZI MTUPISHE. Ni muda Sasa wa Simba kupata viongozi sahihi wenye profession ya mpira na sio wana siasa kwenye mpira (alishawahi kusema mecky mexime kocha wa kagera)
Nimemaliza!