chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
TSAR BOMB unaijua wewe .
Hiyo namba ya bomu au una soma vichwa vya habari
TSAR BOMB unaijua wewe .
Hawajui hawa wa shule za kata na vyuo vya jalalaniKule kuna elimu advance kabisa ambayo wao ufundisha mpaka kupitiliza elimu yenyewe.ndio maana una ona teknolojia na vumbuzi nyingi
Hawajui hawa wa shule za kata na vyuo vya jalalani
Vyuoni vya jalalani ndy vipi hivyoHawajui hawa wa shule za kata na vyuo vya jalalani
Kama Dk. Shika?Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.
Mada yangu ni kwamba kwa nini waliosoma Urusi wakirudi nchini hawarudi wakiwa sawa kwa sababu
Wengine wanaweza kurudi wakiwa na kasoro fulani
Kwa mfano kaka yangu alisoma daktari urusi Ila kuna vitu fulani nikimtazama namuona hayuko sawa Ila ni daktari mzuri sana
Alinishawishi na Mimi kusomea hiyo fani yake japo mi nilisomea mambo ya madawa
Amenifundisha vitu vingi Sana kuhusu madawa na kwa mambo aliyonifundisha naweza kumuua binadamu ndani ya sekunde kumi mpaka ishirini kwa kuchangaya haya madawa ya binadamu.
Yaani mpaka mda fulani najiuliza kuna nini urusi na siyo yeye tu nawafahamu wengi sana waliosoma urusi upande wa madaktari na fani mbali mbali ni watu ambao siyo mchezo mchezo
Vyuoni vya jalalani ndy vipi hivyo
Vitaje basi
Ova
Noma sanaSisi tuna soma oxygen hipo period table ya ngapi wao wanasoma quantum kwenye oxygen Kwa nini proton na neutron zipo vipi ndani.wa kata na university mlimani tutasubiri sana
View attachment 1594140
View attachment 1594141
View attachment 1594142
View attachment 1594143
View attachment 1594144
Rais putin aliojiwa na RT new kwa nini wewe ujiwekezi sana kwenye manuali za kubeba ndege na mandege jibu “sisi tunavo vya kuifuta ramani tu na hivo vyote walivyo beba mpaka nchi yao “ vodka baridii mix kahawa
Pombe hizo, kule pombe kibao alafu classic bei chee. Kwenye totoz sasa nyomi lake Si mchezo alafu wanapenda sana ngozi nyeusi.
uwalakini upiHujioni uwalakini hasa likija suala la michezo na siasa
uwalakini upiHujioni uwalakini hasa likija suala la michezo na siasa
Hahahahahaaaa daah mzee baba umenichekesha mpaka machozi yamenitoka aisee.Inatemea intake gani. Kwa mfano mimi nimesoma kule miaka ya tisini, mbona sina tatizo lolote. Mfano sasa hivi NIKO SEBLENI NIMEKAA JUU YA TV NAANGALIA MAKOCHI YANGU sina tatizo na yoyote.
Kila wakuja aendaye Urusi (hasa zama za Kisovieti) pana mtu wa KGB alipangiwa kumfuatalia muvu zake zote. Iwapo wakuja huyo ni ME, basi alikabidhiwa KGB KE, ambaye ni single-n-lookin' mrembo wa Kirussia "ili kumfundisha lugha ya Kirusi". Kwa vile mwaka wa kwanza ulitumika kujifunzia lugha, ina maana alikuwa na mwaka mzima wa kuchunguzwa na KGB huyo. Aghalabu, ME wengi waliishia kuwa na mahusiano ya kingono na KGB wao. Kutokana na wanaume wa Kirusi kuwa kwenye mgomo fulani baridi, waoaji walikuwa ni wachache. Hivyo, endapo wakuja yule alitaka kumuacha KGB wake, basi aliunguzwa fyuzi fulani kichwani pake.Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.
Mada yangu ni kwamba kwa nini waliosoma Urusi wakirudi nchini hawarudi wakiwa sawa kwa sababu
Wengine wanaweza kurudi wakiwa na kasoro fulani
Kwa mfano kaka yangu alisoma daktari urusi Ila kuna vitu fulani nikimtazama namuona hayuko sawa Ila ni daktari mzuri sana
Alinishawishi na Mimi kusomea hiyo fani yake japo mi nilisomea mambo ya madawa
Amenifundisha vitu vingi Sana kuhusu madawa na kwa mambo aliyonifundisha naweza kumuua binadamu ndani ya sekunde kumi mpaka ishirini kwa kuchangaya haya madawa ya binadamu.
Yaani mpaka mda fulani najiuliza kuna nini urusi na siyo yeye tu nawafahamu wengi sana waliosoma urusi upande wa madaktari na fani mbali mbali ni watu ambao siyo mchezo mchezo
GT Mlenge tunaomba mifano ya hao watuKila wakuja aendaye Urusi (hasa zama za Kisovieti) pana mtu wa KGB alipangiwa kumfuatalia muvu zake zote. Iwapo wakuja huyo ni ME, basi alikabidhiwa KGB KE, ambaye ni single-n-lookin' mrembo wa Kirussia "ili kumfundisha lugha ya Kirusi". Kwa vile mwaka wa kwanza ulitumika kujifunzia lugha, ina maana alikuwa na mwaka mzima wa kuchunguzwa na KGB huyo. Aghalabu, ME wengi waliishia kuwa na mahusiano ya kingono na KGB wao. Kutokana na wanaume wa Kirusi kuwa kwenye mgomo fulani baridi, waoaji walikuwa ni wachache. Hivyo, endapo wakuja yule alitaka kumuacha KGB wake, basi aliunguzwa fyuzi fulani kichwani pake.
Kwa sababu hiyohiyo ya mgomo baridi wa wanaume wa Kirusi, wengi waliishia kunywa vinywaji vikali. Hivyo na wakuja naye alijikuta kwenye utamaduni huohuo.
Na kwa vile pia Ukomunisti ulikataza mambo ya dini, basi wengine pia walirudi hawana imani walizoondoka nazo, na hivyo kuonekana misfit huku walikotoka.
Sababu nyingine ni pale mtu alipojifunza vitu vya sayansi kali, na wakapenda abaki hukohuko kwao, naye akang'ang'ania kuondoka, kadhalika walibutua fyuzi fulani kichwani.
Hizi ndizo stori za vijiweni nilizosikia.