Watu waliosoma Urusi kwanini wakirudi nchini wanakuwa na kasoro fulani?

GT Mlenge tunaomba mifano ya hao watu

Angalia mtu yoyote aliyekaa muda mrefu Urusi, hasa ya Kisovieti. Aghalabu mojawapo au zaidi ya yafuatayo atakuwa nayo:

1. Atakuwa siyo mtu wa ibada.

2. Atakuwa mtu wa kunywa pombe sana.

3. Atakuwa mtu wa aina yake kwa mandhari ya nyumbani kwake / mavazi yake / haiba yake.

4. Hivyo ni iwapo amerudi nyumbani. Vinginevyo hurudi na KGB wake KE, au huzamia hukohuko majuu.
 
Angalia mtu yoyote aliyekaa muda mrefu Urusi, hasa ya Kisovieti. Aghalabu mojawapo au zaidi ya yafuatayo atakuwa nayo:

1. Atakuwa siyo mtu wa ibada.

2. Atakuwa mtu wa kunywa pombe sana.

3. Atakuwa mtu wa aina yake kwa mandhari ya nyumbani kwake / mavazi yake / haiba yake.

4. Hivyo ni iwapo amerudi nyumbani. Vinginevyo hurudi na KGB wake KE, au huzamia hukohuko majuu.

Kila nchi inaweza kukufanya kuwa tofauti kiukweli,mfano ukiishi mexico kama usipokuwa mchinjaji na roho mbaya sijui.sijui ni tamaduni zinazo wazunguka
 
Wewe nzi wa kijani huwezi lolote tofauti na kupiga magoti kuomba kura,
Nimepiga kitabu Russia tena st Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kakayako huyo mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
 
Nimepiga kitabu Russia tena St. Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kaka yako huyo, mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
Sidhani Kama upo sawa msomi.
 
Kuna mmoja karudi na PhD yake ya Mambo ya viwanda, aisee yule kaka ni Kama zinaingia na kutoka
 
Nimepiga kitabu Russia tena St. Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kaka yako huyo, mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
Kama yule aliyesoma mpaka pii hechi dii ya "i can't reach you"!
 
Siyo kwamba wakiwa wanaenda huko hizo anajua na expectation kubwa Sana ya kutusua maisha kuliko uhalisia
 
Kule Baridi sana mara nyingine ubongo huwa unaganda capacitor inabidi zijiongezee heating system. Sasa akirudi Bongo na hili joto zina overheat
 
Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.

Mada yangu ni kwamba kwa nini waliosoma Urusi wakirudi nchini hawarudi wakiwa sawa kwa sababu

Wengine wanaweza kurudi wakiwa na kasoro fulani

Kwa mfano kaka yangu alisoma udaktari Urusi Ila kuna vitu fulani nikimtazama namuona hayuko sawa Ila ni daktari mzuri sana

Alinishawishi na mimi kusomea hiyo fani yake japo mimi nilisomea mambo ya madawa

Amenifundisha vitu vingi sana kuhusu madawa na kwa mambo aliyonifundisha naweza kumuua binadamu ndani ya sekunde kumi mpaka ishirini kwa kuchangaya haya madawa ya binadamu.

Yaani mpaka muda fulani najiuliza kuna nini Urusi na siyo yeye tu nawafahamu wengi sana waliosoma Urusi upande wa madaktari na fani mbali mbali ni watu ambao siyo mchezo mchezo.
Ni kwamba wamekuwa sio wa mchezo mchezo au wana kasoro? Maana sijaona baya la kaka yako zaidi ya kukupa ujuzi, ambalo kwa mtazamo wangu ni jambo jema, labda kama wataka kulitumia kudhuru wengine.
 
Na wengi hua ni tasa au jogoo hapandi mtungi, hizi ni story za vijiweni tu sina uthibitisho wowote
 
Nasikia huko chai ni pombe kali, sasa huku bongo watu wamezoea kunywa Serengeti lite unategemea nini kama siyo kichwa kuvurugika.

Pitiapitia nyuzi walieleza wadau miaka mingi iliyopita hapahapa JF.
Afu serengeti lite unakunywa kumi unaishi kishibaa tu kuelewa hakuna..
 
Inatemea intake gani. Kwa mfano mimi nimesoma kule miaka ya tisini, mbona sina tatizo lolote. Mfano sasa hivi NIKO SEBLENI NIMEKAA JUU YA TV NAANGALIA MAKOCHI YANGU sina tatizo na yoyote.

🤣🤣🤣😀
 
Nasikia huko chai ni pombe kali, sasa huku bongo watu wamezoea kunywa Serengeti lite unategemea nini kama siyo kichwa kuvurugika.

Pitiapitia nyuzi walieleza wadau miaka mingi iliyopita hapahapa JF.
Kule Russia bia ilikua inakua classified as Soft drinks yaani iko kundi moja na soda tu.

Wamebadilisha hio sheria mwaka 2011.
 
Kule Russia bia ilikua inakua classified as Soft drinks yaani iko kundi moja na soda tu.
Kuna sehemu nilienda, siyo Russia, yaani nimetafuta maji ya kunywa freshi ya chupa supermarket zote nikakosa. Zaidi niliambulia 'sparkling water '...vinyaji vingi ni >5% Alcohol!! Wao wanasema maji fresh ni ya kwenye bomba tu!!! Halafu "wajinga wale" wanakuwekea glass ya maji ya kunywa bafuni!!!
 
Back
Top Bottom