Watu waliosoma Urusi kwanini wakirudi nchini wanakuwa na kasoro fulani?

Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.

Mada yangu ni kwamba kwa nini waliosoma Urusi wakirudi nchini hawarudi wakiwa sawa kwa sababu

Wengine wanaweza kurudi wakiwa na kasoro fulani

Kwa mfano kaka yangu alisoma udaktari Urusi Ila kuna vitu fulani nikimtazama namuona hayuko sawa Ila ni daktari mzuri sana

Alinishawishi na mimi kusomea hiyo fani yake japo mimi nilisomea mambo ya madawa

Amenifundisha vitu vingi sana kuhusu madawa na kwa mambo aliyonifundisha naweza kumuua binadamu ndani ya sekunde kumi mpaka ishirini kwa kuchangaya haya madawa ya binadamu.

Yaani mpaka muda fulani najiuliza kuna nini Urusi na siyo yeye tu nawafahamu wengi sana waliosoma Urusi upande wa madaktari na fani mbali mbali ni watu ambao siyo mchezo mchezo.
Usichanganye mada

Nadhani unachanganya wale waliosoma urusi na wale waliomosea magonjwa ya akili. Wengi wanaonekana wana kasoro ninwale waliosomoa magonjwa ya akili.

Siku moja nilikwenda Regency hospital. Nikakutana na huyu Dr. Sikumuelewa. Kwanza kila kitu anapenda ashughulike yrye mwenyewe mambo ambayo madokta wengine huwaachia manurse.

Kupima uzito, kuchukua majibu ya vipimo nk. Nilipouliza manurse huyu Dr amebobea kwenye magonjwa gn , nikajibiwa MAGONJWA YA AKILI. Baada ya hapo ukazuka mjadala kuwa hawa madaktari wa akili ndivyo walivyo, wanakuwa kama na wao zimefyatuka.

Hata hivyo binafsi nilimpenda sana na nilisema moyoni nikimpata magonjwa wa akili nitampeleka kwake.
 
Nimepiga kitabu Russia tena St. Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kaka yako huyo, mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu

Ss we unajiona upo sawa kweli? Katafute matibabu mapema mkuuu.
 
ukitaka kuelewa zaidi wafatilie wanadiplomasia toka America US, marekani itakuja na jibu soon mana nawao wameshtuka hilo kwani watu wao wooote waliokanyaga pale, uhalisia wakifikra umekua ukikwama
 
Ni kweli dish zao na mental state zao na style za maisha huwa Zina kasoro
 
Back
Top Bottom