Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Uliwahi kujiuliza! kwannini watu tunatumia lugha tofauti katika kiwasiliana?au je kwanini rangi zetu zumetofautiana?.
Mkuu kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu dini, au ya kuwauliza watu waliojikita sana kwenye dini Kwanza ni kwanini sisi waafrika au watanzania hakutafuta uhuru kutoka kwenye dfini. Kwa kiingereza ningesema freedom from religion, ni kama tumeamua kuwa wafungwa na watumwa wa dini. Thiolojia ambazo wageni walileta kutudhibiti, na tumekubali kabisa kujiweka chini yake.