Watu walio na midomo iliyo babuka

Watu walio na midomo iliyo babuka

Mama sabrina kama hutojali omba [HASHTAG]#mods[/HASHTAG] wafute huu uzi..imgne tu mgumba anahis kunyanyapaliwa seuze muathirika wa hiv!!...peace
Kama unakukera si uache kusoma,, we kama huwanyanyapai lala nao
 
Hakuna ajuaye kesho,na wote walioupata hawakupenda waupate,na unaweza ukaondoka dunian huyo akabak au hao uliwasema kwa mujibu wa maelezo yako wakabak kula maisha,siyo jambo zur kumnyanyapa Mtu kwa maradh aliyonayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu nimesema ninanyapaa,,watu wengine mnajua kusoma tu
 
Ni ugumu tu wa maisha katika zama hizi za awamu ya tano
 
Ssbrina ana miaka mingap

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Mwathirika wa HIV akifikia kubabuka/kuota vidonda mdomoni basi tambua hafikishi miezi 6, anakufa.
 
samahani mamy sijasema unanikera ..unafadhaisha kwa namna 1 au nyingine! am sorry,...
Kwani mi sijuii,,hakuna kuficha,,hata mi nishazika ndugu zangu walioathirika,,na kuna wengine wameathirka pia kama wawili,na niko nao poa poa,,mi natoa tahadhali
Maana Us ukimuambukiza mtu makusudi na unajijua una HIV ni kifungo nako wananyanyapaliwa au
 
Back
Top Bottom