Watu walio na midomo iliyo babuka

Watu walio na midomo iliyo babuka

Mkuu...Mimi Nina Vitiligo..Sio ukimwi ndo Mana midomo yangu iko hivyo.
 
Mkuu simpime mtu kwa macho..ukasema Ana ukimwi...Hayo Ni maradhi Wala hayahusiani na ukimwi
 
Huu Ni ugonjwa TU unaitwa Vitiligo..hauumi Wala hauwaashi..ila tu ngozi inapoteza rangi...Usiwadhanie Wana ukimwi
Screenshot_20201009-201025.jpg
 
Nakuambia hivi wenye ngoma wengi wanajulikana tu mbona ukiwaangalia tu hawaeleweki kwanza wamefubaa , acha hawa wabishe mi nishaona na washakufa wengi tu
Kwaiyo gonjwa linalofubaza Ni ukimwi tu.. Kuna cancer.. na Mengine mengi madoctor ndo wanajua
 
Back
Top Bottom