Watu walio na midomo iliyo babuka

Watu walio na midomo iliyo babuka

nashindwa hata cha kucomment... kwenye familia yangu nna ndg ameathirika..nipo postive zaid kwa watu kma hawa..hata huwa sipend kuwaongelea imagn upite hapa uone linaongelewa gonjwa hili...mengn tuachage tu mambo mengine... ishu ni kuwa nikua waaminifu..kupima kilamara ukiingia kwenye rlshp mpya...!
 
nashindwa hata cha kucomment... kwenye familia yangu nna ndg ameathirika..nipo postive zaid kwa watu kma hawa..hata huwa sipend kuwaongelea imagn upite hapa uone linaongelewa gonjwa hili...mengn tuachage tu mambo mengine... ishu ni kuwa nikua waaminifu..kupima kilamara ukiingia kwenye rlshp mpya...!
Hata kwenye au ukoo huwa tunaona jamani
 
Sikijui kisukari...ila kama kinamaliza mwili basi si kila mwenye kupungua ana HIV...jamaa uliyemkuta hospital kapungua huenda ilikuwa kisukari

Sent from my TV
Wewe kupungua kwa HIV ni kwingine kabisa,japo kisukari kinatisha nacho
 
Back
Top Bottom