Watu walio na midomo iliyo babuka

Watu walio na midomo iliyo babuka

Hivi inakuwaje watu wanababuka midomo?yaani midomo inakuwa na wekundu hivi kama kaunguzwa moto,,halaf nimechunguza nikagundua watu walioathirika na HIv wengi wao wamebabuka midomo sijui ni kwaajili ya dawa zao wanazomeza,,kuna sehemu nimekuja hapa yaan watu nnaowafaham afya zimezorota ,ngozi zao hazing'ai,,midomo imebabuka,
Pia kuna huyu dada nilimuacha vyema tu mzuri kweli nimemkuta nae midomo imebabuka ,ngozi yake haing'ai kama mwanzo,,
Katika maisha yangu nawaogopa sana watu waliobabuka midomo na ngozi hazing'ai ,,hata unipe nini mwanaume aliebabuka midomo hapana kabisa naonaga kama ni wagonjwa,,maana nishatembelea wodi ya wagonjwa wa HIV wotr midomo yao imebabuka,, (je ninavyohosi ni kweli asilimia ngapi??) Halaf nikimuhisi mtu kaathirika na kweli anakuwa kaathirika kweli nikimuangalia macho yake,ngozi ,,,tumuombe Mola aisee magonjwa haya mabaya sana
Nakumbuka zamani kuna kijana mmoja alikua akinifukuzia ananialika tukale wote mara anitumie pesa,,sasa ile nikitaka kwenda kuonana nae roho inakataa kabisa,, mpaka akaacha kunisumbua,,sasa siku zikapita sijaonana nae nikajua alisafiri ,,kumbe kalazwa hospital ,siku moja naenda kusalimia mgonjwa si nikakutana nae anafanyishwa mazoezi kakondaa midomo imebabuka,,nywele zimekuwa lain halaf zimenyonyoka ,,anatembelea mti ,ngozi imepauka hata ukiipaka mafuta sidhani kama yatashika,, nadhan alitaka hata kukata njia nyingine tusionane lakin hakuweza ,,aisee nilishtuka jamanii,,nikasema kumbe nilikimbia moto,,
Mim huwa najitahidi sana kuchagua aisee na ni vyea zaidi kupima na kutumia kinga,,,pia msifanye sana fanyeni kidogo tu kuepuka michubuo
Mambo yashaharibika oohoo
Najua kuna watu wanaokunywa pombe kali midomo nao hubabuka lakin wengi waliobabuka ni waathirika wa HIV,,,
Siku hizi kuna ugonjwa mmbaya zaidi ya HIV.. Unaitwa homa ya ini huo ni hatari zaidi ya ukimwi.. Hauitaji michubuko busu tu chali au majimaji yoyote ya mwili... So take care

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Km Ingekua Hvyo Bac Nani Angeupata UKIMWI, Kwan Wengine Macho Hawana Unayo Ww Tu! Pombe Znafubaza Ngozi, Gongo Znababua Midomo, Kisukari Kinaharibu Ngozi, Wengine Wana Dry Skin So Asipopaka Lipshine Midomo Hupasuka Na Kuweka Vdonda Lkn Hawa Wote HIV Ni Negative. Ukiona Mtu Anaonyesha Dalili Za HIV Kwa Macho, Bac Huyo Co Msambazaji Wa HIV. Wanaosambaza Kwa Kasi Zaidi HIV Ni Wale Ambao Hata Leo Ukiambiwa Yule Anao Utabisha Tu. Yule Anaeonekana Kwa Kumwangalia Bas Ujue Ameanza Kushambuliwa Na AIDS. Mtu Anaweza Akawa Na HIV Lkn Akawa Ana Shine Tu Na Kila Mtu Anamtamani, Yan Ana HIV Lkn Kinga Yake Bado Ipo Juu. Cku Kinga Ikishuka Na Kuanza Kushambuliwa Na Magonjawa, Ndo Unaweza Kuhisi. Wengine Wanasema Matumiz Ya ARV Yanafubaza Ngozi Japo Cna Uhakika Sn. Ss Umkute Mtu Anao, Hajaanza ARVs, Na Kinga Ipo Juu Bado, Huyo Utamla Tu Tena Kimshikaki, Ndimu Na Pilipili Kwa Mbali.
 
Huu uzi inabidi nikae tu kimya maana muelekeo wake ni wa vita ya 3 ya dunia.
 
Aiseeeeeeeee.......nimejifunza kitu hapa na ninazidi kupata uhakika na nilichokuwa nakifikiria.......hivi kwanini watu wanapenda kuwaua wenzao kwa makusudi lakini.......nawaza tu kwa sauti
Mungu aendelee kutulinda
 
Aiseeeeeeeee.......nimejifunza kitu hapa na ninazidi kupata uhakika na nilichokuwa nakifikiria.......hivi kwanini watu wanapenda kuwaua wenzao kwa makusudi lakini.......nawaza tu kwa sauti
Mungu aendelee kutulinda
Umejifunza nini?
 
Huyu mleta thread hanatofauti na wanaowaua vikongwe kisa tu ana macho mekundu,usije ikawa imeanza kampeni ya kuwanyanyapa wenye midomo iliyobabuka kwa kisingizio ana Ukimwi,hakuna anayejua mwisho wa maisha yake hapa Duniani isipokuwa Mungu tu,wangapi? walikuwa bukheri wa afya wamefariki kwa sababu mbali mbali wamewacha wenye Hiv wanaendelea kuishi,nani? anajua hatma ya maisha yake mwaka huu au nani? ana uhakika wa kuumaliza mwaka huu(20017)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom