Watu walio na midomo iliyo babuka

Watu walio na midomo iliyo babuka

Kama unapima watu kwa kubabuka midomo inabidi upambane na hali yako....

Jitazame vizuri wengine wanywa gongo tu, baridi, mawazo pia hubabua midomo pia kwenye uzi wako umeenda direct kuwabagua watu wenye hiv io haijakaa vizuri sana, wapo watu waliojitunza sana waliangalia midomo ya watu lakini sehem walipozolea virusi hawakuamini vipimo, chukua atua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unapima watu kwa kubabuka midomo inabidi upambane na hali yako....

Jitazame vizuri wengine wanywa gongo tu, baridi, mawazo pia hubabua midomo pia kwenye uzi wako umeenda direct kuwabagua watu wenye hiv io haijakaa vizuri sana, wapo watu waliojitunza sana waliangalia midomo ya watu lakini sehem walipozolea virusi hawakuamini vipimo, chukua atua

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye maelezo yangu nilipowabagua ni wapii
 
Hakuna ajuaye kesho,na wote walioupata hawakupenda waupate,na unaweza ukaondoka dunian huyo akabak au hao uliwasema kwa mujibu wa maelezo yako wakabak kula maisha,siyo jambo zur kumnyanyapa Mtu kwa maradh aliyonayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unapima watu kwa kubabuka midomo inabidi upambane na hali yako....

Jitazame vizuri wengine wanywa gongo tu, baridi, mawazo pia hubabua midomo pia kwenye uzi wako umeenda direct kuwabagua watu wenye hiv io haijakaa vizuri sana, wapo watu waliojitunza sana waliangalia midomo ya watu lakini sehem walipozolea virusi hawakuamini vipimo, chukua atua

Sent using Jamii Forums mobile app


haijakaa vizuri kwakweli..mamBo mengne tushukuru tu Mungu kutuepusha..huyu ndg yangu mie alikua na tatz hasimamish toka udogo mwaka 2000 akataftiwa dawa za kienyej akapona kbs..mwanamke wa 1 kukutana nae tu kamuamBukiza ngwengwe! imagine inauma kias gan! nashukur MUNGU anajitambua sana sana ! ananipa faraja kwakweli... siji kumnyooahea mtu aCi..wengne huwa bahat mby..inaumiza sana kukuta habar km hz!

TUSIHUKUMU TUSIJE HUKUMIWA
 
Mama sabrina kama hutojali omba [HASHTAG]#mods[/HASHTAG] wafute huu uzi..imgne tu mgumba anahis kunyanyapaliwa seuze muathirika wa hiv!!...peace
 
Hebu ielezee basi kwa kiswahili,,ni upungufu wa ?
Hii husababishwa na Anti-bodies ku-attack mwili wako mwenyewe...tunafahamu kuwa kazi za antibodies ni kupambana na antigens(zinahusika na protection) ila sometimes(non-etiology) zina-bahave abnormal badala ya kuprotect mwili zina-attack mwili...

Result ya attack hiyo ndio huko kubabuka midomo na sehemu za uso au mikono....Hii ya kubabuka uso au mikono huwa haiponi(irrevesible) , kabla haijasambaa mgonjwa anatakuwa kuwahi kwa wataalamu wa Magonjwa ya ngozi(Dermatologist) ili kupewa dawa za kupunguza inflammation..

Autoimmune disorder ingine ambayo yenyewe inaweza kupona ni Alopecia Areata...Hii unakuta mgonjwa ananyonyoka nywele(patches arround the Scapl)....Mgonjwa wa namna hii akipatiwa dawa huwa anapona..
 
haijakaa vizuri kwakweli..mamBo mengne tushukuru tu Mungu kutuepusha..huyu ndg yangu mie alikua na tatz hasimamish toka udogo mwaka 2000 akataftiwa dawa za kienyej akapona kbs..mwanamke wa 1 kukutana nae tu kamuamBukiza ngwengwe! imagine inauma kias gan! nashukur MUNGU anajitambua sana sana ! ananipa faraja kwakweli... siji kumnyooahea mtu aCi..wengne huwa bahat mby..inaumiza sana kukuta habar km hz!

TUSIHUKUMU TUSIJE HUKUMIWA
Kama anafuata masharti ya dr ana chance ya kuishi kwa muda mrefu tu
 
Back
Top Bottom