Watu walio na midomo iliyo babuka

Watu walio na midomo iliyo babuka

Waathirika wanavyokuaga wazuri wewe tena wanapendeza hawana ndonya
Mwanzo nilikuwa napenda kweli kupima HIV , sasa hivi nimekuwa mwoga sio kwamba nacheza rafu ila nimekuwa mwoga tu... huwa najisemea kama ninao dalili zitajionyesha tu
 
Nyie jipeni tu moyo ,, Ngoma nimbaya na ukishaipata km hukuwahi kufikiria kifo ndo njia inaanza sasa ,, mpaka ujikubali sio Leo wala kesho nahat km unatumia mbaazi huwezi kupita miezi miwili wewe bila kua hoi ... Na unapoipata ile kuna mawili either ujinyime kabisa haki ya tendo LA ndoa ,,,,,au ufanye kuwaunguza wenzako huku moyon ukiumia ..

Kwaufupi Ndio maana kampeni nyingi kuhusu HIV zinalenga kupunguza maambukizi na kuutokomeza lkn zinazotia matumain Kwa wao nicache kichizi tena sana .


Kikubwa nikuyouza gem kizembe au bila kupima.
 
Si huyu mama sabrina anatutisha.
Kuna wakati nilifanya kazi na mtoto ambae ni HIV+. Yule mtoto alizaliwa na ugonjwa na alikuwa na matatizo mengi sana, siku ninaonyeshwa mama yake alikuwa mrembo amebeba designer handbag, kiatu kirefu na makucha ya extension. Huwezi kumjua sasa mkikutana na hao wanaowaka msipime nendeni nao tu
 
Zamani kabla ARV haijaja ilikuwa rahisi kidogo kumtambua mwenye HIV kwa usoni tu. Lakini miaka hii wenye ngoma wanaotumia ARV nyuso zao zinang'aa km kawaida na uzito hawapungui. Na mwisho hufa vizuri tu akiwa na afya yake, eidha hubanwa na nimonia gafla na huondekea hivo hivo. Wengine hunguka tu baada ya ini kufeli kufanya kazi na baadae huhesabiwa alikufa kwa presha..... Sasa karne hii km bado unaangalia dalili usoni ujue umekwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo nilikuwa napenda kweli kupima HIV , sasa hivi nimekuwa mwoga sio kwamba nacheza rafu ila nimekuwa mwoga tu... huwa najisemea kama ninao dalili zitajionyesha tu
Usiogope bwana wewe ni mwanaume
 
Kuna wakati nilifanya kazi na mtoto ambae ni HIV+. Yule mtoto alizaliwa na ugonjwa na alikuwa na matatizo mengi sana, siku ninaonyeshwa mama yake alikuwa mrembo amebeba designer handbag, kiatu kirefu na makucha ya extension. Huwezi kumjua sasa mkikutana na hao wanaowaka msipime nendeni nao tu
Nikucheza kwa makini kwa kweli,

Ugonjwa hauna Chale wala ndonya kama ulivyosema
 
Nikucheza kwa makini kwa kweli,

Ugonjwa hauna Chale wala ndonya kama ulivyosema
Mi ninaowaonaga wanakuwa tayarii kabisa wanao,,kuna wengine wako poa,cha muhimu kupima tu
 
Back
Top Bottom