betty marandu
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 1,154
- 714
We kiboko aisee.Kamaanisha kijana kwa vile ana nguvu atumie nguvu .Jaman kasema yeye siyo mm
We kiboko aisee.Kamaanisha kijana kwa vile ana nguvu atumie nguvu .Jaman kasema yeye siyo mm
Ungeshauri afanyaje mkuu?Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kinachonisikitisha in kuwa pyramids zimeweza kidumu takriban miaka 3000 iliyopita lakini ghotofa zetu zilizoplaniwa na mainjinia kwa teknolojia ya kisaa haziwezi kudumu hata karne mbili!Huko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253
Ndo hapo sasaMimi kinachonisikitisha in kuwa pyramids zimeweza kidumu takriban miaka 3000 iliyopita lakini ghotofa zetu zilizoplaniwa na mainjinia kwa teknolojia ya kisaa haziwezi kudumu hata karne mbili!
Acha uongo, kuna hii pia ukiweza kujibu basi pulleys zako zipo sahihi..Walitumia principle za physics
"Pulley system" ambayo ilikuepo tangu karne ya 17
Kwa sasa,
Pulley System imekua modified zaidi kuweza kuunda hizo cranes, lift Elevators n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje?, Hata haya maghorofa yatadumu maelfu ya miakaMimi kinachonisikitisha in kuwa pyramids zimeweza kidumu takriban miaka 3000 iliyopita lakini ghotofa zetu zilizoplaniwa na mainjinia kwa teknolojia ya kisaa haziwezi kudumu hata karne mbili!
Anaongelea BC... Mfano karne ya 14BC ndo miaka hiyo ya akina moses, sasa 17BC itakua ama zama za mawe au bronze Age,, au zama za akina AbrahamMkuu karne ya 17 sijuzi tu hapo ...pyramids zinazaidi ya miaka 4000 iliyopita
Bro fundi wako alishawahi kusahau vifaa site? Wanaopita nao wakavitizama tu?Ndio ninyi mnaosoma history kwa dictionary halafu mnakuja kujaza matangopori humu!
Tuanze na mawe yenyewe tools gani enzi hizo (precision instruments) kama micrometer, zilitumika kupima, kuchonga au kuyakata na kuyasafirisha mawe yale hadi kwenye sites? Hao "wanaume" au watumwa wote kwa mamia na maelfu waliishije mbona yamebaki mummies wa wafalme tu? Na hakuna kifaa hata kimoja kilichoonekana maeneo hayo, viliondoleewa au viliyeyukaje? Yaani msumeno utumike kukatia jiwe haupo, halafu mwili wa binadamu (mfalme) aliyeutumia uonekane leo lakini vitendeakazi vyake kama msumeno wake uyeyuke kabisa hata jino lake moja tu hakuna! Ni ajabu sana. Inatupasa kujiuliza sisi je! Tutaacha ustaarabu gani kwa vizazi vijavyo?
Bro fundi wako alishawahi kusahau vifaa site? Wanaopita nao wakavitizama tu?
They even know that Jesus is the Holy Son of God who can destroy them:"You believe that God is one; you do well. Even the demons believe--and shudder!" James 2:19
Sasa Pyramid za Misri, Mbona zilijengwa Zamani Sana kabla ya Kristo??.Walitumia teknolojia gani?Walitumia principle za physics
"Pulley system" ambayo ilikuepo tangu karne ya 17
Kwa sasa,
Pulley System imekua modified zaidi kuweza kuunda hizo cranes, lift Elevators n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ulitaka afanye Nini? Je,hiyo shughuli km ndo inampa riziki??.Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakuuliza,Sasa hao Magiants walifanyaje??.Hiyo ni kazi ya giants/majitu walifanya kazi hiyo.Usiniulize walifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Aliens ni watu gani na Wana nguvu kiasi gani?.Pyramids zilijengwa na aliens
Ni viumbe kutoka sayari nyingine na wana upeo na maarifa kuliko binadamuHao Aliens ni watu gani na Wana nguvu kiasi gani?.
Kuna pyramid zingine zipo Sudan . Ila za Egypt ndio maarufu zaidiHuko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253