Ukweli kuhusu Pyramids

waterproof

JF-Expert Member
Aug 14, 2020
387
348
Habari wana JF ni muda mtefu sijashiriki nanyi Ila nimerudi na suala linalo sumbua dunia kuhusu pyramids zilizoko Egypt zilijengwa na nani? Mwaka gani? Na kwasababu gani?

BAADHI YA WATU WASEMAVYO:
1. Pyramids zilijengwa na viumbe kutoka anga za juu, ambao waliwahi kuja duniani miaka 5,000 iliyopita na kuishi Mashariki ya Kati.

Mapiramidi hayo yalitumika kama mnara wa kuongozea ndege zao kuona wapi Mashariki ya Kati ilipo, wakati zikishuka kutoka anga za juu.

Viumbe hao maarufu kwa jina la Annunaki walikuja duniani na kugundua kuna madini mengi ya dhahabu na kuanza kuchimba kisha kusafi kwenda kwenye sayari yao iitwayo Nibiru.

Maana ya 'Annunaki' ni walioshuka kutoka juu, na 'Nibiru' ni sayari ipitayo yaani Crossing Planet.

Mapango yote yaliyopo duniani, ikiwemo yale ya Amboni mkoani Tanga waliyachimba wao hao Annunaki.

Baada ya viumbe hao Annunaki kuondoka kurejea kwao Nibiru, ndipo Wafalme wa Misri waliamu kuyatumia kama makaburi ya wao kuhifadhiwa humo.
Ujenzi wa pyramids ulifanyika kwa ufundi na ustadi mkubwa, kiasi kwamba mpaka sasa hakuna mtambo wa kuweza kupandisha au kunyanyua mawe yaliyotumika kujenga.

Mfano, jiwe moja lina uzito wa tani 2,500 sawa na kilo 2,500,000.
Yalijengwa kwa kuoanishwa au kuwa sanjari na yota za orion ambazo zimejipanga huko anga za juu.

FB_IMG_1615804635090.jpg


2. Ujenzi wa Pyramids ulifanyika kwa ustadi wa kulinganishwa na nyota za Orions, kama hivi.
FB_IMG_1615804662208.jpg


3. Michoro ya Pyramids sanjari na nyota za Orions. Je, mfalme au mhandisi gani wa dunia angeweza kujenga Pyramids kwa ueledi uliotumika enzi hizo?

FB_IMG_1615804725798.jpg


4. wengine wanasema hayo ni makaburi ya watawala wa zamani wa Misri yaan mafarao so kwa sasa yamebaki Kama kumbukumbu Na ni moja Kati ya vivutio vvikubwa huko Egypt hasa katika masuala ya dini.

Je,, UKWELI ni UPI juu ya hizi pyramids na ujenzi wake na Kazi yake ...?


Naomba kuwasilisha wakuu
 
HAYA NDIYO MAPIRAMIDI YA GIZA,LA UPANDE WA KUSHOTO LINAITWA MYKERINOS, KATIKATI KHEFREN NA KULIA NI CHEOPS
1615805929540.png




Piramidi za giza ni kati ya majengo yanayojukana zaidi duniani, Yapo kando kando ya bonde la mto Nile karibu na mji wa Giza,takribani kilometa 15 kutoka Kairo katika Misri.

Piramidi hizi ni mabaki ya eneo kubwa la makaburi ya enzi za Misri ya Kale.Wafalme na maafisa wa juu walizikwa hapa.

Mapiramidi 3 makubwa yamepewa majina kufuatana na mafarao au Wafalme wa Misri waliozikwa ndani yao,Mapiramidi hayo ni Cheops, Khefren na Mykerinons

Uti wa mgongo wa nchi ya Misri ulikuwa ni mto nile. Sehemu kubwa ya nchi ni jangwa lakini umwagiliaji wa mashamba kwa njia ya maji ya mto,utaratibu ambao ulileta mazao mazuri yaliolisha watu wengi. Mahitaji ya kupanga na kutunza mifereji pamoja na mitambo ya umwagiliaji,na kusimamia ugawaji wa maji yaliyosababisha kutokea kwa vyanzo vya Hisabati na Mwandiko. Mwandiko wa Misri ulikuwa hiroglifi ulikuwa ni mwandiko uliokuwa kwenye mfumo wa picha

Cc. Shadow7
 
HAYA NDIYO MAPIRAMIDI YA GIZA,LA UPANDE WA KUSHOTO LINAITWA MYKERINOS, KATIKATI KHEFREN NA KULIA NI CHEOPS
View attachment 1726350



Piramidi za giza ni kati ya majengo yanayojukana zaidi duniani,Yapo kando kando ya bonde la mto Nile karibu na mji wa Giza,takribani kilometa 15 kutoka Kairo katika Misri.

Piramidi hizi ni mabaki ya eneo kubwa la makaburi ya enzi za Misri ya Kale.Wafalme na maafisa wa juu walizikwa hapa.

Mapiramidi 3 makubwa yamepewa majina kufuatana na mafarao au Wafalme wa Misri waliozikwa ndani yao,Mapiramidi hayo ni Cheops, Khefren na Mykerinons

Uti wa mgongo wa nchi ya Misri ulikuwa ni mto nile. Sehemu kubwa ya nchi ni jangwa lakini umwagiliaji wa mashamba kwa njia ya maji ya mto,utaratibu ambao ulileta mazao mazuri yaliolisha watu wengi. Mahitaji ya kupanga na kutunza mifereji pamoja na mitambo ya umwagiliaji,na kusimamia ugawaji wa maji yaliyosababisha kutokea kwa vyanzo vya Hisabati na Mwandiko. Mwandiko wa Misri ulikuwa hiroglifi ulikuwa ni mwandiko uliokuwa kwenye mfumo wa picha

Cc. Shadow7
Yalijengwa na nani?
 
Ninachoshindwa kuamini ni kwamba ayo yalijengwa na wanadamu kama sisi wa enzi izo ambako ata technologia haikuwepo, tofali moja linatani moja na lilipandoshwa juu sana,,,,

Vipimo vimetumika kwa ustadi wa juu, ayo madude yamejengwa na viumbe wengine na Sio wanadamu kwakwel
 
Na siku hizi kijana hawezi kubeba mfuko wa cement!

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sasa vijana wa siku hizi mnakula chipsi mayai mfuko wa sement mtauweza wapi? Enzi hizo mgeni alikua akikutembelea unamchinjia mwana-mbuzi kama kifungua kinywa, mchana unatafuta ndama yule alienona ndio anatokoswa. Pembeni hapo kuna balasi la mvinyo anashusha taratibu. Nini bana.
 
Hayo yamejengwa na waisraeli walipokuwa watumwa nchini Misri kwa mujibu wa biblia
Acha uongo, kipindi Waisraeli wanaenda Egypt tayari wa Egypt walikuwa na ustaarabu wao na ndiyo maana walipelekwa kama watumwa na hawakuwa na sauti pale Cairo, hivyo michoro na kila kitu lilifanywa na mabwawa wao na wao walikuwa watumwa tu pale.
 
Unapo zungumzia pyramids za miser moja kwa moja unazumzungizia utashi ujuzi maarifa ufundi ustadi, kalama na elimu ya wana wa Israel, wao ndiyo waliojenga hayo ma pyramids naam taifa la Mwenyezi Mungu muumba wa nchi na dunia.......
 
Back
Top Bottom