wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,575
Hawafu mwenye nguvu ndie aliyapandisha juu hayo mawe.
yes wewe jamaa una akili Kama zangu hebu ongeza hii ilikuaje pyramids zote kuanzia Aztec, Egypt na huko far east zikae parallel yaana zimekaa Kwa kujipangilia kufuatana na nyota za Orion?Acha uongo, kuna hii pia ukiweza kujibu basi pulleys zako zipo sahihi..
Kule Beirut, Lebanon
Kuna jengo maarufu kama "Baalbek" limewekwa jiwe juu lenye Tani 1600 na hilo lilivutwa na pulleys? Au...
Wengi mmekaririshwa na hizo degree za engineering na physics mnajiona mnajua, ujinga tu
Nyingine kule Peru, Machupichu wonders hebu fuatilia au zile Stone Henge kule Scotland.
Kwa taarifa yako hata zile pyramid za Giza kule Egypt zipo katikati kabisa ya dunia, je walijuaje na hapakuwa na satelite .
Tafakarini, acheni kujifanya mnajua
Kha!kha!,Sayari hiyo inaitwaje?.Ni viumbe kutoka sayari nyingine na wana upeo na maarifa kuliko binadamu
Kha!kha!,Sayari hiyo inaitwaje?.
Eehhh!!!!, Sawa bhana.Chato planet.
Mkuu sio kila kazi inahitaji nguvu, zingine akili tu.Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sayari inaitwa Kepler -186FKha!kha!,Sayari hiyo inaitwaje?.
Acha bhasiChato planet.
Kwahyo unataka akatembeze mataaluma ya reliHuna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!!, Sijawahi kuisikia na viumbe wake inaonyesha wanatisha japo wanataka kufanana na binadamu.
Usisambaze hii siri.Ni TOP SECRET!!!Duh!!!, Sijawahi kuisikia na viumbe wake inaonyesha wanatisha japo wanataka kufanana na binadamu.
Wenawe unachekesha! Hivi unalijua (uliliona) pyramid wewe?dmkali, Director Cosmopolitan, Losser Bad
... it is very simple; kwani likijengwa jukwaa kubwa sana kuzunguka eneo lote na refu kuliko pyramid lenyewe halafu wakapanda na kujipanga safu safu za wanaume say 1,000 juu kule kisha jabali likafungwa kamba za kutosha watashindwa kunyanyua hizo kg. 4,000 (tani 4) mfano wa crane za leo? Hapo si wastani wa kg. 4 kwa kila mtu? Hata watu 100 tu wanatosha; just 40kg per person!
Vitu vingine wala sio miujiza ni akili kidogo tu as long as you can mobilize the resources! Kumbuka hao walikuwa watumwa na pyramid ni kwa ajili ya kuzika wafalme so, kama ni watu haikuwa issue maana watumwa walikuwepo na hata kufa au kupona kwao wakati wa kazi haikuwa issue - muhimu "punda afe lakini mzigo ufike". Kama ni resources, nimeshakuambia hazikuwa nyumba za maskini bali makaburi ya wafalme; so, resources kama chakula, malighafi, vitendea kazi, n.k. halikuwa tatizo.
Ni siri kati ya nani na nani??.Usisambaze hii siri.Ni TOP SECRET!!!
Huyo anajisemea tu.Wenawe unachekesha! Hivi unalijua (uliliona) pyramid wewe?
Haya hebu nambie kozi za juu kabisa (kuanzia ishirina kitu mpaka 33) hao watu 1000 wanajipangaje/ wanalinyanyuaje mpaka jiwe lifike huko kutoka kwenye ground?
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
NASA & CIANi siri kati ya nani na nani??.
Karne ya 17 mbona ni juzi tu yaani miaka ya 1600.Ma Pyramids yalijengwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita kabla kuzaliwa YESUWalitumia principle za physics
"Pulley system" ambayo ilikuepo tangu karne ya 17
Kwa sasa,
Pulley System imekua modified zaidi kuweza kuunda hizo cranes, lift Elevators n.k
Sent using Jamii Forums mobile app