Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Nani mwingine kakamatwa analalamika hajafunguliwa kesi? Wapinzani, watuhumiwa wa ufisadi wote wanafunguliwa kesi zingine wanashinda nyingine wanashindwa, Magaidi pekee ndio wanaolalamika hawajafunguliwa kesi, na sio kwamba hawajafunguliwa kweli ila ni asili ya magaidi tu kulalamika hovyo huku wao ni wauaji


Halafu kuna viongozi wa upinzani kama Lissu, Mbowe na Lowassa zamani, wanajidai kutetea hawa magaidi ili kuvutia Waislam wapumbavu kuwa ni wanatetea haki

Sasa niwaulize kana Serikali haifuati haki ni mara ngapi Tundu Lissu amekamatwa na akashinda kesi, au kuachiwa kwa dhamana? Ni mara ngapi Mbowe amekamatwa na kushinda kesi au kuachiwa kwa dhamana? Lowassa nae alikuwa na kesi ya uchochezi mbona aliachiwa na sasa hivi yupo free mtaani?

Hao mashekhe hawaachiwi sababu ni magaidi
Na kama wanafanya hivyo ili Serikali ya CCM ionekane vibaya kwa Waislam niwaambie tu Serikali ya CCM ni kweli ina ubaya wake tena mwingi sana...Lakini serikali ya CCM haijawahi kuwachomea watu makanisa, serikali ya CCM haijawahi kulipua na kuua raia wasio na hatia, Serikali ya CCM hajawahi kukazimisha watu wafunge kula

So kama wapinzani wanawatetea hawa watu ili wapate kura, ndio wanazidi kupotea

Gaidi kubwa ni Baba yako Laanatullahi Nyerere aliyevamia Zanzlbar , na kuuwa watu zaidi ya 13 000 chini ya uongozi wa Kanisa Katoliki
 
Huyo jamaa ni mdini na ana chuki na uislamu fuatilia posts zake hajaanza leo. Hajui kuna msemo "when you go rome do romans do" akiona pemba hapafai anakwenda kutafuta nini?
Hao ndio watovu wakienda nyumba za watu wanataka washike rimoti na kutoa amri. Kiasili ukiona mtu anapenda kuamrisha amrisha ama kuonesha anaonewa unajua anayo asili ya utwana.
Kwani Zanzibar ni islamic state?? Mnapenda udini udini sasa ninyi magaidi! Nyerere alifanya vema kuwabinya kijasusi mkawa koloni la Tanganyika! Bila hivyo sasa hivi zanzibar ingekuwa dola la wavaa kobazi lililosheheni ugaidi na ghasia!
 
Nitaitembelea Pemba kwa Mara ya Kwanza mwaka huu next month
 
Gaidi kubwa ni Baba yako Laanatullahi Nyerere aliyevamia Zanzlbar , na kuuwa watu zaidi ya 13 000 chini ya uongozi wa Kanisa Katoliki
Nyerere alikuwa genius ndio maana huwezi kusikia udini udini na ukabila huku Tanganyika! Aliukomesha once and for all.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ume-neutralize makali ya ugaidi zanzibar ambao otherwise ungekuwa extremely rampant. Wale mashehe wa uamsho walitaka kuleta upumbavu wakabinywa korodani wakaletwa Tanganyika in a very scientific way, mpaka sasa wanasaga meno segerea. Hali ni shwari kwa kweli.

Elements zote za ugaidi lazima ziwe contained and dealt with accordingly!
 
Nani mwingine kakamatwa analalamika hajafunguliwa kesi? Wapinzani, watuhumiwa wa ufisadi wote wanafunguliwa kesi zingine wanashinda nyingine wanashindwa, Magaidi pekee ndio wanaolalamika hawajafunguliwa kesi, na sio kwamba hawajafunguliwa kweli ila ni asili ya magaidi tu kulalamika hovyo huku wao ni wauaji
Halafu kuna viongozi wa upinzani kama Lissu, Mbowe na Lowassa zamani, wanajidai kutetea hawa magaidi ili kuvutia Waislam wapumbavu kuwa ni wanatetea haki
Sasa niwaulize kana Serikali haifuati haki ni mara ngapi Tundu Lissu amekamatwa na akashinda kesi, au kuachiwa kwa dhamana? Ni mara ngapi Mbowe amekamatwa na kushinda kesi au kuachiwa kwa dhamana? Lowassa nae alikuwa na kesi ya uchochezi mbona aliachiwa na sasa hivi yupo free mtaani?
Hao mashekhe hawaachiwi sababu ni magaidi
Na kama wanafanya hivyo ili Serikali ya CCM ionekane vibaya kwa Waislam niwaambie tu Serikali ya CCM ni kweli ina ubaya wake tena mwingi sana...Lakini serikali ya CCM haijawahi kuwachomea watu makanisa, serikali ya CCM haijawahi kulipua na kuua raia wasio na hatia, Serikali ya CCM hajawahi kukazimisha watu wafunge kula
So kama wapinzani wanawatetea hawa watu ili wapate kura, ndio wanazidi kupotea
Sasa hivi hamdeal nao kwa kuwakamata na kuwapeleka mahakamani bali sasa mnateka,au unajifanya hujui kama watu wanatekwa sasa?
 
Hii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.
Mtukufu Jecha asalama aleko , waonaje maisha ya kustafu mzee baada ya ile pindua matokeo ?
 
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Lete source acha uongo
 
Nyerere alikuwa genius ndio maana huwezi kusikia udini udini na ukabila huku Tanganyika! Aliukomesha once and for all.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ume-neutralize makali ya ugaidi zanzibar ambao otherwise ungekuwa extremely rampant. Wale mashehe wa uamsho walitaka kuleta upumbavu wakabinywa korodani wakaletwa Tanganyika in a very scientific way, mpaka sasa wanasaga meno segerea. Hali ni shwari kwa kweli.

Elements zote za ugaidi lazima ziwe contained and dealt with accordingly!


Ndivyo unavyoambiwa kanisani na Kardinali wako Pengo?? Tuambie na Ben Saanane na wale mliowatupa coco beach walikuwa nani hata mkawapoteza??


Sikiliza vizuri

 
Nyerere alikuwa genius ndio maana huwezi kusikia udini udini na ukabila huku Tanganyika! Aliukomesha once and for all.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ume-neutralize makali ya ugaidi zanzibar ambao otherwise ungekuwa extremely rampant. Wale mashehe wa uamsho walitaka kuleta upumbavu wakabinywa korodani wakaletwa Tanganyika in a very scientific way, mpaka sasa wanasaga meno segerea. Hali ni shwari kwa kweli.

Elements zote za ugaidi lazima ziwe contained and dealt with accordingly!


U-genius wake ulikwisha siku alipo fixiwa na Mkapa kwa kupewa ile gilasi ya champagne , alibaki kumpigia simu Mkapa ambaye alikuwa amelewa njwii akampigia huyo Bwana wake Pengo naye simu kaifunga , akabaki kulia kama mtoto mdogo. Mwisho Kiboko yake Mkapa akammliza kwa kupiga simu London kufungwa gesi zote asiitie hasara serikali😛😛😛😛

HUO NDIO MWISHO WA DHALIMU NA GAIDI LAANATULWAHI NYERERE
 
Kwani Zanzibar ni islamic state?? Mnapenda udini udini sasa ninyi magaidi! Nyerere alifanya vema kuwabinya kijasusi mkawa koloni la Tanganyika! Bila hivyo sasa hivi zanzibar ingekuwa dola la wavaa kobazi lililosheheni ugaidi na ghasia!
Mnajitahidi sana aisee, NYUMBA YA BUIBUI HAIMSTIRI MWENYE NAYO CHOCHEENI MOTO MSIACHE 😀 😆
SIKUSHANGAI KWANI WENYE ASILI YA UTWANA HUPENDA WAITWE MABWANA. NA WASIO UPEO NDIO HUJISIFU KUWA WANA AKILI NYINGI...
PAMBANENI NA HALI ZENU
 
Thibitishaa kama kweli ni ya zamani
Hii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.
 
Ndivyo unavyoambiwa kanisani na Kardinali wako Pengo?? Tuambie na Ben Saanane na wale mliowatupa coco beach walikuwa nani hata mkawapoteza??


Sikiliza vizuri


Hawasomi wala hawasikilizi, wanasubiri kulishwa matango pori kisha wanaleta utumbo wao humu.
Tatizo kubwa la jamaa zetu hao ni "akili kuambiwa"
 
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu


Ukisikia ujinga ndiyo huu, na serikali inakaa tu inachekelea. Dini si muhimu kwa kila mtu it's only kwa wakereketwa wasiojitambua akili.
 
Nyinyi ni magaidi na tunalitambua hilo! Mtaendelea kubinywa kisayansi mpaka mafunza yawatoke vichwani! Nenda segerea ulizia mashehe wa uamsho! Watakuja kwa mafungu mafungu utawasabahi vema.
Sawa hakuna tatizo

Unajua hakuna kitu kibaya kama kuwa maradhi ya ujinga, unahitaji tiba wewe. Hubzi
 
Kwahiyo sasa waislamu hawafuati sharia? au wewe unajua sharia ni upande wa adhabu tu kwamba hadi uone mtu kakatwa kichwa?
Waislam wakiwa wengi wanataka hata asiye Muislam awe anafuata sharia, ndio kinachofanyika huko Zanzibar na nyie mnakiunga mkono
Waislam kama mngekuwa watu wa haki kweli mngekemea huo Udikteta unaofanyika huko Zanzibar sasa naona wengi wenu mnaunga mkono, huku mkiwa wa,kwanza kulia lia kuwa mashehe wenu hawatendewi haki
 
Waislam wakiwa wengi wanataka hata asiye Muislam awe anafuata sharia, ndio kinachofanyika huko Zanzibar na nyie mnakiunga mkono
Waislam kama mngekuwa watu wa haki kweli mngekemea huo Udikteta unaofanyika huko Zanzibar sasa naona wengi wenu mnaunga mkono, huku mkiwa wa,kwanza kulia lia kuwa mashehe wenu hawatendewi haki
We kweli mwana ccm,yani udikteta uliyojaa huku bara hujauona ila unauona wa znz tu.
 
We kweli mwana ccm,yani udikteta uliyojaa huku bara hujauona ila unauona wa znz tu.

Serikali ya CCM ina ubaya wake, na ninaikosoa kwenye ubaya wake, pamoja na ubaya wake woote haijawahi kulazimisha watu wafunge kisa ni Kwaresma au Ramadhani

Anyway kwa kuwa Serikali ya CCM ni ya kidikteta ndio mlazimishe watu wafunge?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom