Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Kama sheria za huko anazijua kwa nini nae ale mpaka akutwe...

Ni sawa na kwenda kuulizia rosali msikitini...


Cc: mahondaw
 
Hivi we ni mwanadamu kweli? umeona ile video ya Lile jamaa lenye begi kule Sri Lanka lilivyoingia kanisani na begi mgongoni, kisha mlangoni linakashika katoto kichwani na kukasalimia kinafiki kama vile linapenda watoto, halafu linaingia kanisani linajiripua na wale watoto!! ni Dini kweli hii au ushetani mtupu!!

Uliona ile documentary ya BBC watalii wakristo wazungu walivyokuwa wanakwenda Srilanka na kununua viboga vya watoto vijijini huku wazee wa hao watoto wa kikristo wakiwapeleka watoto wao wakaripuliwe makalio wapate kula . Padri alipoulizwa akabaki hajui aseme nini
 
Watu wanaheshimu katiba hakuna sehemu kwenye katiba inasema zanzibar ni nchi ya kuislam
Nasema ni chuki kwa sababu wanaofanya hivyo ni wazanzibar wenyewe wamejiwekea taratibu hiyo ila wewe unasema waislamu wanalazimisha watu kufunga biashara yani husemi kuwa wapemba ndio hufanya hivyo bali unawahusisha waislamu kabisa,sasa kama sio chuki ni nini? unachopaswa wewe ni kuheshimu taratibu za watu kama ambavvyo wao wapemba wakija huku bara hawasemi biashara zifungwe mwezi wa ramadhani kwa sababu huku sio pemba hivyo hakuna hizo taratibu.
 
Kabisa kufunga sio kulazimishana
Hapa utalaumu sana mkuu ila tatizo hapa ni uelewa kwanza wa elimu ya kawaida ndio ifuate elimu ya dini. Hawa jamaa ni weupe kichwani na wanachofanya hawaoni kama ni makosa kwakuwa tatizo ni uelewa.
Funga wewe kama wewe sio umlazimishe mwenzako, tetea nafsi yako mbele ya Mungu wako usimlazimishe mwingine ajitetee, angekuwa anaumwa ungemlazimishia dawa kwa bakora? Angekuwa hana pesa ya kula ungemlizimishia pesa ya kula kwa bakora?
Umefunga huku roho inakuuma unataka kila mtu afunge wewe nani?
Ndio mnataka Nchi yenu kwa ujinga huo? Mpaka mpiganie elimu kwanza mkishaelimika ndio tutawafikiria kwa vitambulisho vya uraia Hizbulah nyie.
 
Huyu jamaa ndio kiboko ya wapemba na wazanzibar kwa ujumla,wakimuona huyu jamaa hawapumui [emoji23] mpaka utawaonea huruma
FB_IMG_1557773325837.jpeg
 
Watu wanaheshimu katiba hakuna sehemu kwenye katiba inasema zanzibar ni nchi ya kuislam
Hayo mambo ya nchi za kiislamu mnaleta nyie,nachojua wapemba hufanya hivyo kama taratibu zao wenyewe na sio kwamba uislamu ndio umewataka wafanye hivyo.
 
Wafunge wasiingilie uhuru wa watu
Washinde kwenye nyumba za ibada huko hakuna wa kuwasumbua
Hayo mambo ya nchi za kiislamu mnaleta nyie,nachojua wapemba hufanya hivyo kama taratibu zao wenyewe na sio kwamba uislamu ndio umewataka wafanye hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom