Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Hawana makosa? Endelea kuamini hivyo...ila dawa ya kudeal na wapumbavu kama nyie ndio hiyo...
Sasa si wapelekwe mahakamani kama wana hayo makosa,mnakamata watu mnawaita magaidi ila hamuwapeleki mahakamani halafu et ndio njia ya kudeal nao.
Na ndiyo maana sasa hivi watu wanatekwa tu hovyo,nadhani wameona hiyo ndio njia ya kudeal nao hao wapumbavu wengine ndiyo maana wanawateka ila ajabu mnalalamika ila wakideal na waislamu mnaunga mkono.
 
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Una hakika walijifungia ndani?
 
Nakumbuka back 2003, nilienda zenji, mwezi kama huu wa ramadhani, nikiwa kijana, mi sijui hiki wala kile, nikatoka zangu pale tembo hotel nikaenda zangu darajani, nikachagua matunda flan hivi nikaosha nikaanza kula hapohapo kweupe pee, mama-mama, si wakaanza kuitana sijui takbiri sijui, jamani sitasahau, dreva taxi alikua kapaki ananisubiria kasimama pembeni gafla alinishika kwa nguvu akasema twende fasta garini! Yaani Ndio ikawa pona yangu...akaniambia ungekoma leo...nikamwambia sasa kwann hukuniambia mapema akasema naye alijisahau... hamu yote ya kutembea zenji ikakatika
 
Nakumbuka back 2003, nilienda zenji, mwezi kama huu wa ramadhani, nikiwa kijana, mi sijui hiki wala kile, nikatoka zangu pale tembo hotel nikaenda zangu darajani, nikachagua matunda flan hivi nikaosha nikaanza kula hapohapo kweupe pee, mama-mama, si wakaanza kuitana sijui takbiri sijui, jamani sitasahau, dreva taxi alikua kapaki ananisubiria kasimama pembeni gafla alinishika kwa nguvu akasema twende fasta garini! Yaani Ndio ikawa pona yangu...akaniambia ungekoma leo...nikamwambia sasa kwann hukuniambia mapema akasema naye alijisahau... hamu yote ya kutembea zenji ikakatika
Pole sana asee!! Hakuna umuhimu wa kufunga kama kufunga ni sheria/lazima. Huwa wanapoteza muda tu. Mfungo ni muda wa kila mmoja kuichunguza imani yake na kuwa karibu na Mungu wake kwa hiari. Imani hailazimishwi,.
 
Mudi a quran ndo inafundisha hivyo.
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
 
Mudi na quran ndo inafundisha hivyo.
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
 
Hii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.
Huyo jamaa ni mdini na ana chuki na uislamu fuatilia posts zake hajaanza leo. Hajui kuna msemo "when you go rome do romans do" akiona pemba hapafai anakwenda kutafuta nini?
Hao ndio watovu wakienda nyumba za watu wanataka washike rimoti na kutoa amri. Kiasili ukiona mtu anapenda kuamrisha amrisha ama kuonesha anaonewa unajua anayo asili ya utwana.
 
Jana nilikuwa kijiwe fulani,muda wa kufuturu ulipowadia asilimia kubwa wanakimbilia sigara,nikawauliza kanuni zinasemaje ikaonyesha wamefunga kwa kufuata mkumbo tu,imani ni ngumu sana si vema kumforce mtu jambo la imani
 
Hii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.
Ni kweli ndg. Hii picha sio mpya. Ni ya zamani. Mleta mada kaamua kuleta taharuki tu
 
Dini uchwara.. Arafu watu kama hao niingie peponi niwakute warahi mi ntatoka huko peponi maana nitajua ndio kuzimu kwenyewe..
 
Sasa si wapelekwe mahakamani kama wana hayo makosa,mnakamata watu mnawaita magaidi ila hamuwapeleki mahakamani halafu et ndio njia ya kudeal nao.
Na ndiyo maana sasa hivi watu wanatekwa tu hovyo,nadhani wameona hiyo ndio njia ya kudeal nao hao wapumbavu wengine ndiyo maana wanawateka ila ajabu mnalalamika ila wakideal na waislamu mnaunga mkono.
Nani mwingine kakamatwa analalamika hajafunguliwa kesi? Wapinzani, watuhumiwa wa ufisadi wote wanafunguliwa kesi zingine wanashinda nyingine wanashindwa, Magaidi pekee ndio wanaolalamika hawajafunguliwa kesi, na sio kwamba hawajafunguliwa kweli ila ni asili ya magaidi tu kulalamika hovyo huku wao ni wauaji


Halafu kuna viongozi wa upinzani kama Lissu, Mbowe na Lowassa zamani, wanajidai kutetea hawa magaidi ili kuvutia Waislam wapumbavu kuwa ni wanatetea haki

Sasa niwaulize kana Serikali haifuati haki ni mara ngapi Tundu Lissu amekamatwa na akashinda kesi, au kuachiwa kwa dhamana? Ni mara ngapi Mbowe amekamatwa na kushinda kesi au kuachiwa kwa dhamana? Lowassa nae alikuwa na kesi ya uchochezi mbona aliachiwa na sasa hivi yupo free mtaani?

Hao mashekhe hawaachiwi sababu ni magaidi
Na kama wanafanya hivyo ili Serikali ya CCM ionekane vibaya kwa Waislam niwaambie tu Serikali ya CCM ni kweli ina ubaya wake tena mwingi sana...Lakini serikali ya CCM haijawahi kuwachomea watu makanisa, serikali ya CCM haijawahi kulipua na kuua raia wasio na hatia, Serikali ya CCM hajawahi kukazimisha watu wafunge kula

So kama wapinzani wanawatetea hawa watu ili wapate kura, ndio wanazidi kupotea
 
Pole sana asee!! Hakuna umuhimu wa kufunga kama kufunga ni sheria/lazima. Huwa wanapoteza muda tu. Mfungo ni muda wa kila mmoja kuichunguza imani yake na kuwa karibu na Mungu wake kwa hiari. Imani hailazimishwi,.

Si uende Pemba ukawaambie maneno yako. Wavamizi mna kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom