Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Gaidi kubwa ni Baba yako Laanatullahi Nyerere aliyevamia Zanzlbar , na kuuwa watu zaidi ya 13 000 chini ya uongozi wa Kanisa Katoliki
Sijui kama Nyerere aliua hao watu, na hata kama aliua siungi mkono na haihalalishi nyie kulazimisha watu kufunga
 
Waislam wakiwa wengi wanataka hata asiye Muislam awe anafuata sharia, ndio kinachofanyika huko Zanzibar na nyie mnakiunga mkono
Waislam kama mngekuwa watu wa haki kweli mngekemea huo Udikteta unaofanyika huko Zanzibar sasa naona wengi wenu mnaunga mkono, huku mkiwa wa,kwanza kulia lia kuwa mashehe wenu hawatendewi haki
Halafu ajabu mlivyo yani wewe hapo unaunga mkono wanayofanyiwa watanzania wenzako huko jela tena unasema kabisa ndio njia ya kudeal nao huoni kuwa si sahihi ila wewe tena unakuja hapa kulaumu wapemba kuchapa watu bakora,kama si unafki ni nini? si ajabu ukisikia huku bara wakristo wanawaua waislamu utaona sawa tu hata hao waislamu hawajafanya kosa lolote ilimradi ni waislamu tu.

Tatizo lako wewe ni waislamu ni si vitendo vya baadhi ya waislamu,kama kweli umeamua kutokuwa na dini basi na chuki za kidini ungeziacha pia.
 
Serikali ya CCM ina ubaya wake, na ninaikosoa kwenye ubaya wake, pamoja na ubaya wake woote haijawahi kulazimisha watu wafunge kisa ni Kwaresma au Ramadhani
Anyway kwa kuwa Serikali ya CCM ni ya kidikteta ndio mlazimishe watu wafunge?
Tatizo lako ni chuki za kidini,ndio maana kwako huoni kuwa hao wanaopiga watu bakora ni vijana tu wa mtaani ambao hufanya matukio mbalimbali na wala huoni kuwa serikali ya zanzibar haijalazimisha mtu kufunga imezuia ulaji hadharani wa mchana wa ramadhani maana hata hao waislamu wenyewe wapo ambao hawafungi kwa sababu mbalimbali. Ila wewe mwana ccm umeamua kuona kuwa waislamu wanalazimisha watu kufunga ilimradi uielamu uonekane ni mbaya,halafu kama umekubali serikali ya ccmni dikteta hivyo ni wazi unajua ni mangapi inalazimisha watu kufanya na hakuna wa kupinga.
 
Tatizo lako ni chuki za kidini,ndio maana kwako huoni kuwa hao wanaopiga watu bakora ni vijana tu wa mtaani ambao hufanya matukio mbalimbali na wala huoni kuwa serikali ya zanzibar haijalazimisha mtu kufunga imezuia ulaji hadharani wa mchana wa ramadhani maana hata hao waislamu wenyewe wapo ambao hawafungi kwa sababu mbalimbali. Ila wewe mwana ccm umeamua kuona kuwa waislamu wanalazimisha watu kufunga ilimradi uielamu uonekane ni mbaya,halafu kama umekubali serikali ya ccmni dikteta hivyo ni wazi unajua ni mangapi inalazimisha watu kufanya na hakuna wa kupinga.
Mimi sio mwana CCM, CCM nimeshasema ina mabaya yake na hayo tunayazungumzia kwenye jukwaa la siasa
Hapa tunazungumzia Waislam kuzuia watu kula hadharani, kulazimisha watu kufunga maduka na migahawa, huu ni ubabe na kuwanyima wengine haki
 
Halafu ajabu mlivyo yani wewe hapo unaunga mkono wanayofanyiwa watanzania wenzako huko jela tena unasema kabisa ndio njia ya kudeal nao huoni kuwa si sahihi ila wewe tena unakuja hapa kulaumu wapemba kuchapa watu bakora,kama si unafki ni nini? si ajabu ukisikia huku bara wakristo wanawaua waislamu utaona sawa tu hata hao waislamu hawajafanya kosa lolote ilimradi ni waislamu tu.

Tatizo lako wewe ni waislamu ni si vitendo vya baadhi ya waislamu,kama kweli umeamua kutokuwa na dini basi na chuki za kidini ungeziacha pia.
Huko jela wamewekwa na wanastahili kuwekwa, ugaidi sio kosa dogo
 
Eti nichapwe fimbo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] iyo noma ntaletaa hawatakaa waamini. Yani ntapasua watu na mawe. Haki naapa tutauana hapo.
Bakora unachapwa kama kawaidaa..kila sehem ina itikadi zake..kama huwezi kukaa PEMBA hama...na fujo yoyote huanzishii maana badala ya FIMBO tutakucharazaa mapangaa...ebooo
 
Hapa utalaumu sana mkuu ila tatizo hapa ni uelewa kwanza wa elimu ya kawaida ndio ifuate elimu ya dini. Hawa jamaa ni weupe kichwani na wanachofanya hawaoni kama ni makosa kwakuwa tatizo ni uelewa.
Funga wewe kama wewe sio umlazimishe mwenzako, tetea nafsi yako mbele ya Mungu wako usimlazimishe mwingine ajitetee, angekuwa anaumwa ungemlazimishia dawa kwa bakora? Angekuwa hana pesa ya kula ungemlizimishia pesa ya kula kwa bakora?
Umefunga huku roho inakuuma unataka kila mtu afunge wewe nani?
Ndio mnataka Nchi yenu kwa ujinga huo? Mpaka mpiganie elimu kwanza mkishaelimika ndio tutawafikiria kwa vitambulisho vya uraia Hizbulah nyie.
 
Huko jela wamewekwa na wanastahili kuwekwa, ugaidi sio kosa dogo
Tatizo sio kupewa hiyo kesi ya ugaidi kuwekwa jela bali vitendo mnavyowafanyia huko jela unaona ni sahihi we mwana ccm?kama utaona ni sahihi basi nitakuona mnafki kuja hapa kulalamika kuwa sio sahihi wapemba kupiga watu bakora.
 
Mimi sio mwana CCM, CCM nimeshasema ina mabaya yake na hayo tunayazungumzia kwenye jukwaa la siasa
Hapa tunazungumzia Waislam kuzuia watu kula hadharani, kulazimisha watu kufunga maduka na migahawa, huu ni ubabe na kuwanyima wengine haki
Ndiyo maana nimekwambia wewe una chuki za kidini pamoja na kudai et huna dini,hapa mada inazungumzia wapemba kupiga bakora watu wanaokula mchana mwezi wa ramadhani ila wewe mwana ccm umekuja kuwahusisha waislamu kiujumla wakati wakati wanaofanya hivyo ni wapemba na ni vijana wa mtaani. Wewe hiyo ccm yako hutaji hayo mabaya et mpaka kwenye jukwaa la siasa,sasa mbona hapa mada inawahusu wapemba huko ila muda wote unawasema waislamu na kuleta hadi mambo ya ugaidi.
 
Sijui kama Nyerere aliua hao watu, na hata kama aliua siungi mkono na haihalalishi nyie kulazimisha watu kufunga
Mtu halazimishwi kufunga ila sheria ipo huruhusiwi Kula mbele ya watu wakati wa mchana . Kuhusu kuuwa soma kitabu kinaitwa kwaheri ukoloni kwaheri uhuru
 
Ndiyo maana nimekwambia wewe una chuki za kidini pamoja na kudai et huna dini,hapa mada inazungumzia wapemba kupiga bakora watu wanaokula mchana mwezi wa ramadhani ila wewe mwana ccm umekuja kuwahusisha waislamu kiujumla wakati wakati wanaofanya hivyo ni wapemba na ni vijana wa mtaani. Wewe hiyo ccm yako hutaji hayo mabaya et mpaka kwenye jukwaa la siasa,sasa mbona hapa mada inawahusu wapemba huko ila muda wote unawasema waislamu na kuleta hadi mambo ya ugaidi.
Hivi nyie Waislam mkikosolewa kwa nini mnakimbilia chuki?
Mnalazimisha watu kufunga migahawa kisha mkikosolewa mnalalamika mnachukiwa?
Tunakosoa marufuku batili ya kulazimisha watu wafunge biashara zao wakati wa Ramadhani,
 
Mtu halazimishwi kufunga ila sheria ipo huruhusiwi Kula mbele ya watu wakati wa mchana . Kuhusu kuuwa soma kitabu kinaitwa kwaheri ukoloni kwaheri uhuru
Nikifungua hoteli mtu akaingia kula atakua amekula mbele za watu.?
 
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Ujue hao waliotoa adhabu hiyo wanatamani vitu hivo.
 
Unapoenda sehemu basi kuna utaratibu wake ila kama wewe unaona utaratibu huo huuwezi ubaki kwako.Maoni yangu tu.
 
Ndivyo ulivyoambiwa kanisani na mchungaji wako?
Hivi we ni mwanadamu kweli? umeona ile video ya Lile jamaa lenye begi kule Sri Lanka lilivyoingia kanisani na begi mgongoni, kisha mlangoni linakashika katoto kichwani na kukasalimia kinafiki kama vile linapenda watoto, halafu linaingia kanisani linajiripua na wale watoto!! ni Dini kweli hii au ushetani mtupu!!
 
Hivi nyie Waislam mkikosolewa kwa nini mnakimbilia chuki?
Mnalazimisha watu kufunga migahawa kisha mkikosolewa mnalalamika mnachukiwa?
Tunakosoa marufuku batili ya kulazimisha watu wafunge biashara zao wakati wa Ramadhani,
Nasema ni chuki kwa sababu wanaofanya hivyo ni wazanzibar wenyewe wamejiwekea taratibu hiyo ila wewe unasema waislamu wanalazimisha watu kufunga biashara yani husemi kuwa wapemba ndio hufanya hivyo bali unawahusisha waislamu kabisa,sasa kama sio chuki ni nini? unachopaswa wewe ni kuheshimu taratibu za watu kama ambavvyo wao wapemba wakija huku bara hawasemi biashara zifungwe mwezi wa ramadhani kwa sababu huku sio pemba hivyo hakuna hizo taratibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom