Tangu Makonda arudi kwenye jukwaa la siasa imekuwa kama vile yeye ndio waziri mkuu, makamu wa rais au rais mwenyewe.
Sio kila mtu anafuria jambo hili na ndio maana hata Makonda mwenyewe tayari alishaanza kulalamika kuwa kuna watu wanamtafuta wamuue.
Makonda awe makini anaposafiri kwenda Kusini, Kanda ya Ziwa na Magaribi!
Wananchi wengi hawafurahishwi na hadaa za majukwaani zisizo na tija. Watu wanataka maji, sukari na maendeleo mengine na sio vumbi la misafara mirefu ya magari ya kifahari.
Sio kila mtu anafuria jambo hili na ndio maana hata Makonda mwenyewe tayari alishaanza kulalamika kuwa kuna watu wanamtafuta wamuue.
Makonda awe makini anaposafiri kwenda Kusini, Kanda ya Ziwa na Magaribi!
Wananchi wengi hawafurahishwi na hadaa za majukwaani zisizo na tija. Watu wanataka maji, sukari na maendeleo mengine na sio vumbi la misafara mirefu ya magari ya kifahari.