Watu wa jamii forums hamjui umuhimu wangu

Watu wa jamii forums hamjui umuhimu wangu

Hahah umekuwa ATM ama nini mkuu? Maana ATM ikifa ndio kilio cha abuja, au unagawa papucci for free.
 
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki nitajifanya kama sisikii au sioni huku nawa angalia tu mna vyo ji nafikisha
Usijihangaishi maana hata ukifa hatutafaidi chochote maybe kula makande tu
 
Afu unann kipenz,mbona unapenda kulalamika mno? Sijui kama nimesahau ila hii si mada yako ya kwanza kuonyesha u feel hupendwi
 
Hahahaaaaa

Kuanzia sasa wataujua
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki nitajifanya kama sisikii au sioni huku nawa angalia tu mna vyo ji nafikisha
 
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki nitajifanya kama sisikii au sioni huku nawa angalia tu mna vyo ji nafikisha
Usife mtoto mzuri. Mimi bado nakupenda sana
 
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki nitajifanya kama sisikii au sioni huku nawa angalia tu mna vyo ji nafikisha
basi tutajitahidi tu kukuzika bila kuandika r.i.p usijali
 
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki nitajifanya kama sisikii au sioni huku nawa angalia tu mna vyo ji nafikisha
Unakwama wapi?
 
Funguka basi kuhusu umuhimu wako ili tukupe standing O.

Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki nitajifanya kama sisikii au sioni huku nawa angalia tu mna vyo ji nafikisha
 
Back
Top Bottom