Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,108
- 62,075
kawaida mkuu,maisha yanachanganya watuNinyi walau mmekuwa waungwana
kawaida mkuu,maisha yanachanganya watuNinyi walau mmekuwa waungwana
Hizi comment zinaonesha namna gani watu wamevurugwa na maisha, au ubinafsi watanzania walio nao
Hahaha mkuuUkifa useme tufute id yako ili usitujazie serve zetu.
Nadhani ataingezewa trophy pointsWakiujua umuhimu wako inakuongezea nini
Nadhani ataingezewa trophy points
Naskia huwa znaweza badilishwa na kuwa pesa
Unaogopa mtu kufa?Hizi comment zinaonesha namna gani watu wamevurugwa na maisha, au ubinafsi watanzania walio nao
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Mdau wetu anajua kila uzi ni wa kuchukuliwa kwa uzito.Mie nakuchagulia moja kati ya hayo mawili....umevurugwa na maisha
Uzi wa utani kama huu kuweka userious unaotaka uwepo ni dalili tosha ya kwamba maisha yamekupiga
Pole
Kwenye suala la mtu kufa mwenyewe kwa raha zake huwa siwezi hata kumpinga. Tena nitampa ushirikiano hadi afe.Hahaha mkuu
Daah una roho ngumu
Kama ni hivyo na mie naanza kuomba muone umuhimu wangu humu[emoji28]
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki nitajifanya kama sisikii au sioni huku nawa angalia tu mna vyo ji nafikisha
Kufa tu. Wapo wataojaza nafasi yako.
Unalazimisha watu waone umuhim wako kama kiongoz mmoja wa kanda ya ziwa..?
Acha watu wakukubali wenyewe.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Mdau wetu anajua kila uzi ni wa kuchukuliwa kwa uzito.
Huwenda ni baba mchungaji wa kanisa la makuti.Stress zinamsumbua,mambo madogo kama haya yanamtoa kijipovu