Watu wa Dar ni washamba


Sio watu wa Dar. Kikawaida kuna tabia za mijini na vijijini.

Wewe mtu mzima mwenye tabia njema nini kinakuzuia usianze wewe kutoa salamu kuonyesha mfano?
 
Watu wanaoishi pembezoni mwa nchi ni tatizo sana mkuu.Dasalama?Iko pembezoni mwa nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…