Watu, Taasisi, na Mifumo...

Watu, Taasisi, na Mifumo...

Hata Hosni Mubarak alitumia jeshi kutaka kuzima maandamano.

Kilichotokea wote tunajua. Na huyo ni mtu aliyekaa madarakani karibu miaka 30!

Come on Mangi. You need to get rid of that defeatist attitude.
Kwenye Taifa ambalo watoto wa Shule bado wanachapwa bakora sana unadhani kuna lolote? Hata hizo nchi nyingi zao ni za kiislam, wale wale wako tofauti sana. Tena ukute wanapata maoni kutoka kwenye nyumba za ibada, wako tayari kwa lolote. Huwezi kupata suicide bomber ama wa kujichoma moto bongo.
 
Hivi unadhani uko unapopasema ni sawa na sisi?
Kuna sort moja kuhusu mazungumzo ya Siad Barre wa Somalia na mwalimu Nyerere, ambapo mwalimu alimwambia kuwa wewe kwako hakuna Amani na una wananchi milioni tano tu, na kwangu nina wananchi milioni 30 na kuna amani.

Siad Barre akamwambia, wewe unaongoza kondoo milioni 30 na mimi ninaongoza chui wachache!
Katiba hii ni ya kikoloni na hakuna ujanja. Niambie walioenda kinyume na Maghufuli wako wapi? Ben Saanane mwenyewe alihoji PhD yake akapotezwa.

Katiba yetu ni ile ya mkoloni. Unadhani tulipata uhuru kwasababu wananchi waliamuwa? Wangetaka kubaki wangeweza. Mashinikizo hayakuwa ya wananchi.
Mangi, unarudi kulekule kwenye hoja yangu.

Tukitaka mabadiliko ya kweli basi lazima tubadili na mindset.

Hatuwezi kupata mabadiliko tunayoyatamani, kama tukiendelea na hizi mindset za kikondoo!!!

Huko ilikowezekana, nao ni binadamu tu kama sisi.

Tukiamua tunaweza.

We just need to get over that fear factor.
 
Kwenye Taifa ambalo watoto wa Shule bado wanachapwa bakora sana unadhani kuna lolote? Hata hizo nchi nyingi zao ni za kiislam, wale wale wako tofauti sana. Tena ukute wanapata maoni kutoka kwenye nyumba za ibada, wako tayari kwa lolote. Huwezi kupata suicide bomber ama wa kujichoma moto bongo.
Hahahaaaa. Unachosema ni kweli.

Lakini pia ukweli unabaki pale pale kwamba, tusipobadilika kifikra, hatutofika popote pale.

Tuache ukondoo.
 
Walinda legacy wa mwendazake wekeni ma brush chini sasa,ameshaenda zake na tumeshaachana naye,pumzikeni sasa
 
Walinda legacy wa mwendazake wekeni ma brush chini sasa,ameshaenda zake na tumeshaachana naye,pumzikeni sasa
What has this got to do with anything here?

Pathetic obsessed little punk.
 
Ajabu kabisa
40D90486-2EF0-4037-A492-681F97003F39.jpeg
 
Mambo ya msingi umeongea NN, lakini kubadilika kifikra si mbadala wa katiba mpya, tupate katiba mpya, mengine yafuate.

Yawezekana katiba mpya isitusaidie "sana" lakini hii ya sasa ndio haitusaidii "kabisa". Imagine watu wenye kinga ya kutokushitakiwa ni wangapi? Ikipatikana katiba mpya iliyoondolewa hicho kipengele hata mimi na wewe tunaweza kufile mashitaka, ile tu viongozi fulani fulani wakiona wanaweza kushitakiwa hata kama ni miungu watu kiasi gani wataanza polepole kubadilika kifikra.


Kubadilika kifikra ni process ndefu, katiba ni process fupi, Katiba ikiwa bora itasaidia kushape fikra za watu (si kwa asilimia zote).
 
Mifumo ni watu. Taasisi ni watu. Na vyote hivyo ni kwa ajili ya watu.

Hakuna mfumo uliojiumba wenyewe tu na unaojiendesha wenyewe. Hakuna taasisi iliyojitengeneza yenyewe. Hakuna taasisi inayojiendesha yenyewe. Kumekuwepo na manung’uniko mengi sana kuhusu ukosekanaji wa mifumo bora na taasisi bora hapa Tanzania.

Muundo wa serikali yetu kwa sasa ni ‘top heavy’. Rais wetu ana madaraka makubwa sana na mengi mno. Sawa, hiyo ni kweli kabisa. Lakini, kilicho cha muhimu kabisa kabla hatujaanza kubadili namna tunavyojiongoza, ni lazima kuwepo na mabadiliko ya kifikra.

Ni lazima tubadilike kifikra na ndipo tutaweza kujenga mifumo imara na taasisi zilizo bora. Fikra kama za ‘ameula’, pale mtu anapoteuliwa kwenda kuutumikia umma, hazijengi chochote kile kilicho bora na imara.

Fikra za kwamba ‘Rais hakosei’, hazijengi chochote kilicho bora na imara. Fikra za kumuona Rais ni kama mungu mtu flani hivi, ni lazima zikome.

Fikra za kinafiki nazo lazima zikome. Kama mtu upo serikalini na hukubaliani na mwelekeo wa serikali unayoifanyia kazi, achana nayo. Jiuzulu. Siyo kujifanya unaunga mkono ili mradi tu uendelee kuitwa waziri lakini kumbe moyoni huamini katika chochote serikali hiyo inachokisimamia!

Mabadiliko ya kifikra hayakwepeki endapo kweli tunataka kuliendesha taifa letu kiutofauti na tunavyoliendesha sasa. Hata tukija kupata katiba bora kabisa duniani, endapo fikra zetu hazitobadilika, katiba hiyo itakuwa ni kazi bure tu. Our collective national ethos has to change. No two ways about it!

Peace ✌️. I’m outta here like last year.
Hivi arobaoni ya mwendazake lini?
 
Mambo ya msingi umeongea NN, lakini kubadilika kifikra si mbadala wa katiba mpya, tupate katiba mpya, mengine yafuate.

Yawezekana katiba mpya isitusaidie "sana" lakini hii ya sasa ndio haitusaidii "kabisa". Imagine watu wenye kinga ya kutokushitakiwa ni wangapi? Ikipatikana katiba mpya iliyoondolewa hicho kipengele hata mimi na wewe tunaweza kufile mashitaka, ile tu viongozi fulani fulani wakiona wanaweza kushitakiwa hata kama ni miungu watu kiasi gani wataanza polepole kubadilika kifikra.


Kubadilika kifikra ni process ndefu, katiba ni process fupi, Katiba ikiwa bora itasaidia kushape fikra za watu (si kwa asilimia zote).
Well said.
 
Nyani Ngabu, umeleta mada tunduizu bora ya mjadala mpana wa Mapinduzi ya kifikra. Bila mabadiliko hatuwezi kwenda mbele. Mada hii ni ya kiharakati.

Na uanaharakati unaanza pale tunapotaka kufanya tofauti, lengo ni kuleta mambo chanya katika ktk maeneo ya Haki, Uhuru na Maendeleo ya Watu kiuchumi na kijamii.

N.B
Ziada iliyoletwa JF :

 
Mifumo ni watu. Taasisi ni watu. Na vyote hivyo ni kwa ajili ya watu.

Hakuna mfumo uliojiumba wenyewe tu na unaojiendesha wenyewe. Hakuna taasisi iliyojitengeneza yenyewe. Hakuna taasisi inayojiendesha yenyewe. Kumekuwepo na manung’uniko mengi sana kuhusu ukosekanaji wa mifumo bora na taasisi bora hapa Tanzania.

Muundo wa serikali yetu kwa sasa ni ‘top heavy’. Rais wetu ana madaraka makubwa sana na mengi mno. Sawa, hiyo ni kweli kabisa. Lakini, kilicho cha muhimu kabisa kabla hatujaanza kubadili namna tunavyojiongoza, ni lazima kuwepo na mabadiliko ya kifikra.

Ni lazima tubadilike kifikra na ndipo tutaweza kujenga mifumo imara na taasisi zilizo bora. Fikra kama za ‘ameula’, pale mtu anapoteuliwa kwenda kuutumikia umma, hazijengi chochote kile kilicho bora na imara.

Fikra za kwamba ‘Rais hakosei’, hazijengi chochote kilicho bora na imara. Fikra za kumuona Rais ni kama mungu mtu flani hivi, ni lazima zikome.

Fikra za kinafiki nazo lazima zikome. Kama mtu upo serikalini na hukubaliani na mwelekeo wa serikali unayoifanyia kazi, achana nayo. Jiuzulu. Siyo kujifanya unaunga mkono ili mradi tu uendelee kuitwa waziri lakini kumbe moyoni huamini katika chochote serikali hiyo inachokisimamia!

Mabadiliko ya kifikra hayakwepeki endapo kweli tunataka kuliendesha taifa letu kiutofauti na tunavyoliendesha sasa. Hata tukija kupata katiba bora kabisa duniani, endapo fikra zetu hazitobadilika, katiba hiyo itakuwa ni kazi bure tu. Our collective national ethos has to change. No two ways about it!

Peace ✌️. I’m outta here like last year.
Tungekuona una akili haya ungeyasema kipindi kile Cha msukuma mwenzio magufuli,
Lakini kipindi kile ulikuwa unademka uku umeshika kiuno kumsifia ndugu yako kwa kila jambo
 
expand...
Hapa ndiyo kuna tatizo kubwa kwa Africa ambalo Barack Obama aliliona alipohutubia Bunge la Ghana mwaka 2009 na akasema "Africa doesn't need strongmen, it needs strong institutions."
Ukiwa na strongman akifa na mambo yake YANAKUFA. Lakini Strong Institutions hata Rais akifa zenyewe zinabakia.

Mfano wa strong institutions ni Katiba ya Wananchi, Tume Huru ya Uchaguzi, Mahakama Huru na Bunge Huru. Vile vile TISS inayolinda masilahi ya nchi na siyo ya Rais, Jeshi, Polisi na Magereza.

Kwa Afrika nchi zenye Strong institutions ni Afrika Kusini, Kenya, Egypt.

Maguvu ya Magufuli yalisababisha Bunge liwe butu, Mahakama iwe imamuogopa yeye. Maguvu yakamfanya ajenge kiwanja cha ndege kijijini kwake na kumteua mtoto wa Dada yake Dotto James kuwa Mlipaji Mkuu wa Serikali
 
Back
Top Bottom