Watu kibao wajitokeza Instagram Party Mikocheni

Watu kibao wajitokeza Instagram Party Mikocheni

- ha! ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz

nimeziona picha za red carpet... wabongo tunajua kuact sana, watoto wametokelezea utadhan event ya sao paul au miami kumbe bongo!!! sa umkute kesho asubuhi ni full kuchoka, kulipa madeni no maendeleo...

It was good lakini angalia na jinsi ya kuwa elimisha vijana kama hao, sio kuwalia tu hela... you know what I mean
 
Yani niache kwenda kwenye midahalo ya maana tena inayohusu katiba yetu
Eti niende kwenye pati ya le mtuz na matapeli wenzie "ujinga"
Hizo pesa za kiingilio si tunachoma nyama na bia?aaahhhgggrrh!
 
- Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ndio nimejifunza kwa nini Wazungu wanalilia bongo, hata Mzaire tu aukimwambia kurudi kwao analia machozi kumbe Wabongo tumelala sana usingizi!!

Le Mutuz
Kuendekeza party zisizo na kichwa wala miguu ndio fursa hizo? You're better than this Ma men.......

U know!
 
Yani niache kwenda kwenye midahalo ya maana tena inayohusu katiba yetu
Eti niende kwenye pati ya le mtuz na matapeli wenzie "ujinga"

Kila mtu na hobbies zake. Inawezekana kwako wewe midahalo ndo hobbies zako wengine ku-party ndo hobbies zao.

Kuna wengine wanaona hiyo midahalo ni ya kitapeli na kijinga pia hasa pale watu wanapobebwa na mabasi kwenda kuzomea na kushangilia.

Labda uniambie kuwa midahalo ni dili zaidi maana nasikia watu walikuwa wanalipwa kwa kuhudhuria hiyo midahalo wakati kwenye hiyo party ilikuwa ulipe kiingilio.

Hapo hata mchaga atachagua kwenda kwenye midahalo maana wachaga wanakula tuu lakini hawaliwi.
 
Sema takribani wajinga elfu sita walikuja sio wananchi!

Wewe lazima utakuwa siyo mfanya biashara.

Kama ungekuwa, wajinga 6,000 wakija dukani kwako kununua sukari ungekataa kuwauzia kwa sababu tuu ni wajinga?

Ukitaka kufaidi hii nchi fanya biashara na wajinga.
 
Mnnacha kufanya mambo ya maendeleo mnang'ang'ania kufanya mambo yanayodumaza akili za watu mwanzo mwisho...halafu kesho na keshokutwa mnapanda majukwaani mkitaka kupewa uongozi...

Jamaa atakuwa alifanya SWOT analysis akaona njia ya kujipatia pesa ni hii kuliko hayo "mambo ya maendeleo" unayodhani ndo ya maana kuwekeza.

Wengi wamejikita kwenye conventional business, but it is the most stupid businesses which may end up making money.

From sunglasses for dogs to the so called "wajinga" in need of a party if you can make money out it why don't you go for it?

It-doesnt-matter-if-dogs-are-color-blind-300x300.jpg
 
Kuna kitu bado watu wengi wananishangaza bado watu wanafikiria watu wanategemea baba zao tu? Sababu baba zao maharufu au wanapesa? Tusiwe na roho za mtazamo sio tufanye yetu naye kafanya yake hata Kama mtu alimtegemea mzee wake ila akafanya lamaana katika utegemezi ule, kuna mzazi hampendei mema mwanae ?
 
- Well wala sina sababu ya kubishana on this one maana vitabu tulivyotumia kuuza tiketi vipo kaka, kubali tu au unaweza kuendelea kubiashana na wewe mwenyewe, vinywaji viliisha mara 4 kaka ni historia tupu siku ile

Le Mutuz

Ila Le Mutuz me nimekukubali kwa kuwachezea akili vijana wa Insta,ni mazezeta sana na wapenda sifa mno kifupi wanapenda sana kufake life,waandalie tena sherehe nyingine ili wakuletee hela.
 
Watasha wanasema " you don't see with your eyes, you see with your brain so the more words your brain has the more you will see" bila shaka le mutuz kafikiria namna sahihi ya kulaunch business venture.

Ukifikiria kuifanyia Mwanza hii kazi usiogope nitakuwepo kukupa moral and material support considering partyin and clubbin are ma things dude!! Hook me up dude.

Ain't jokin..u know!!

Regards,
Mwanamalundi.
 
Watasha wanasema " you don't see with your eyes, you see with your brain so the more words your brain has the more you will see" bila shaka le mutuz kafikiria namna sahihi ya kulaunch business venture.

Ukifikiria kuifanyia Mwanza hii kazi usiogope nitakuwepo kukupa moral and material support considering partyin and clubbin are ma things dude!! Hook me up dude.

Ain't jokin..u know!!

Regards,
Mwanamalundi.

- Salute bro honestly I am coming to Mwanza with IG Party so stay tuned mamen

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom