Watu 2 wahukumiwa kwa hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara TCRA

'Pia washtakiwa hao, wametakiwa kulipa fidia ya Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.'

Hio part hapo juu hukuiona mzee baba.
Na imeendelea kusema tayari wameshalipa m200.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Hawa ni wamiliki wa kampuni ya Uhuru one sasa ninaelewa kwanini Uhuru one ilisinyaa kumpe walibananishwa kwa Money laundering case. Baraka naona wiffy hakuposti kabisa instagram nilijua ndoa imefikia tamati kumbe ulikuwa mjengoni na kina sioi. Pole sana mhandisi
 
Hata kuuza maji ya idara ya maji pia ni kosa, umeme hivyo hivyo, ukinunua inakuwa kwa matumizi binafsi siyo kuuza, ili wateja wote wawe kwenye mfumo mmoja.
 
Inshort ni kutumia VPN ambapo una install program kwenye cm yko afu unapewa code unatumia internet bure bila TCRA kujua na kuingiza chochote mostly inafanyika kwa voda na huruhusiwi kuunga bundle la internet lolote katika iko kipindi
acha kuongopea watu. hawa walifunga mitambo wakaanza sambaza internet. hata kwenye habari vifaa vilionyeshwa
 
Miss Zomboko hapo kwenye tarakimu za kuhusu milioni ulizoweka kwa mafungu sijakuelewa ,mwalimu aliye kufundisha bila shaka ni wa kuchunguzwa ,hatuweki nukta kwenye tarakimu la sivyo iwe kwenye senti unatakiwa uandike hivi TZS 267,656,794.30
Asante boss
Nitazingatia ushauri wako next time
 
Duh huyo Baraka hasa alikuwa anapost mambo ya ku inspire vijana ile mbaya kumbe naye kibaka tu?! Huyo mwingine dingi tajiri, bado naona akataka njia mkato?! Tamaa mbaya sana sana..
 
Maisha ni magumu wawaache watoto wa watu wajipatie kipato. Wao wametoa ajira lini hadi wawakamate hao..... Mbwa sana
 
acha kuongopea watu. hawa walifunga mitambo wakaanza sambaza internet. hata kwenye habari vifaa vilionyeshwa
Basi mi ndo nilikosea, ya VPN basi hawa jamaa hawajaigundua, ni kama elf tano free internet mwezi mzima
 
Siku hizi kila Takataka inakusanya Pesa.

Serikali za mitaa.

TCRA,

NEMC,

TBS,

TMDA,

TARURA,

HALMASHAURI,

DPP,

MAHAKAMA,

TRA

TRAFFIC
Haya madudu katika katiba mpya tuyape majukumu mapya yasiyohusiana na pesa hata kidogo
 
Hivi tcra inapata hasara au inakosa mapato? Nataka kujua kama chombo hiki ni taasisi ya kibiashara yenye kupata faida au hasara au ya serikali inayokusanya au kukosa mapato?
Eti?!

Hasara wao wamekuwa ni TRA?!

Hicho kazi yao ni kuratibu shughuli za mawasiliano, hiyo mambo ya mapato wametoka nayo wapi
 
Basi mi ndo nilikosea, ya VPN basi hawa jamaa hawajaigundua, ni kama elf tano free internet mwezi mzima
Mkuu kazi ya VPN siyo kutoa free internet, na siyo kila VPN inatoa free internet mpaka ISP awe na loopholes. Kazi ya VPN ni kukulinda wewe kwa kukufanya usomeke uko sehemu tofauti au uweze kuaccess mitandao iliyofungwa hilo eneo ulipo. Mfano ukitaka tumia whatsapp china lazima uinstall VPN kwenye simu. Na zipo VPN kibao ni free
 
Unanunua internet Voda au Tigo kisha unanunua vifaa vya kurusha wifi kwa watu ndio usambaziji wenyewe.

kmmk Tanzania, sasa wakimkamata huyu Boss jirani yangu ambae natumia internet yake nlioihack kwa kutumia machine yangu ya linux watamshitaki yeye au mimi ? ...anyways kuna sehemu hapa duniani internet ni bure kabisa sasa hapo sielewi inakuwaje ,
 
Back
Top Bottom