Watu 2 wahukumiwa kwa hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara TCRA

Hii ina utata

Kulingana na muktadha wa habari hii kuna mtu anauliza kama yeye anawauzia maji ya DAWASA majirani zake je anakiuka sheria? Maana yeye analipa bili DAWASA.

Mtu mwingine anajibu, tatizo ni kuwa na kibali (yaani Leseni ya biashara). Hata kuuza maji ya DAWASA kwa majirani unahitajika kuwa na Leseni!

Ki ufupi kukiuka sheria kwa kuwa hujui sheria hakukufanyi ukwepe mkono wa sheria. Ila elimu inahitajika sana kwa wananchi, hizi mamlaka zitoe elimu kwa umma
 
Hii ina utata

Kulingana na muktadha wa habari hii kuna mtu anauliza kama yeye anawauzia maji ya DAWASA majirani zake je anakiuka sheria? Maana yeye analipa bili DAWASA.

Mtu mwingine anajibu, tatizo ni kuwa na kibali (yaani Leseni ya biashara). Hata kuuza maji ya DAWASA kwa majirani unahitajika kuwa na Leseni!

Ki ufupi kukiuka sheria kwa kuwa hujui sheria hakukufanyi ukwepe mkono wa sheria. Ila elimu inahitajika sana kwa wananchi, hizi mamlaka zitoe elimu kwa umma

Unapo omba plate namba ya gari unaomba ya matumizi binafsi au ya biashara
 
Huduma ya internet hipo sana kwenye usambazaji
TCRA kuna free frequency ambayo yapo kimataifa IEEE
Kwenye hizo redio hapo chiniView attachment 1634390

Sasa kama unaenda kwa ISP (internet service provider) mfano cat net,simba net,raha dot com,ttcl na n.k wao wana kuuzia speed na inakuwa unlimiteda bando.kununua speed yani ukinunua mfano speed ya 100 mbps kimatumizi binafsi kwa mwezi itakupidi ulipe milioni 2 kwa mwezi na sio share speed hii inakuwa ni ya kwako sio gombania ubwabwa mfano speed ya 100mpbs mpewe watu 200 hapo mpaka mwengine hapunguze matumizi ndio na wewe upate au wapungue watu kwa matumizi.

Ukinunua unaona kitaa watu wanakosa huduma na wewe una sambaza mfanoView attachment 1634391
Kule kwenye kampuni wanajua unatumia wewe tu kumbe na wewe unauza
Mfano umenunua speed ya 100 mbps kwa 2 milioni kila mwezi

Imekuja kwako una wateja 100 na kila mmoja una mtoza laki na nusu .
Kumbuka hizi device zinaweza kufanya kuwa base na receiver
Wengi kumbe hamuijui
 
Inshort ni kutumia VPN ambapo una install program kwenye cm yko afu unapewa code unatumia internet bure bila TCRA kujua na kuingiza chochote mostly inafanyika kwa voda na huruhusiwi kuunga bundle la internet lolote katika iko kipindi
 
Inshort ni kutumia VPN ambapo una install program kwenye cm yko afu unapewa code unatumia internet bure bila TCRA kujua na kuingiza chochote mostly inafanyika kwa voda na huruhusiwi kuunga bundle la internet lolote katika iko kipindi

Na kurekebisha kidogo VPN ina weza kuwa njia isiyo rasmi yani kama kukuta umeme ukaiba .ISP(internt service provider ) hana kuwa DNS zinazo mpa kusambaza huduma kwa sheria ya nchi yani kama tanzania basi unapata huduma bila kupata tatizo ikitambulisha hiyo huduma.kwa kuwa kila huduma inapewa proxy port ambazo zinalinda huduma mfano ukitumia app zilizo na vibari hata internet ukifungiwa mfano facebook wakisema bure basi port ya hiyo hipo free.sasa port ya vpn zilipewa kimataifa ila zilitumika vibaya yani una moderm ya tigo ina bando ina unganisha alafu unapitia port ya vpn unatumia safari com ya kenya ina kuruhu na wewe hiyo huduma una
 
wewe fala kwanza uwelewe hawajaiba na ss ni waelewa sana, iko hivi wamenunua bando mfano kutoka voda baadae wakalirusha kwa watumiaji wengine bila kibali sasa jiulize serikali wanapata hasara vipi wakati bando lile nishapata uhalali kutoka kwa voda? magufuli mitano teno
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Mhandisi Baraka Mtunga (43) na Rajabu Katunda (42) kulipa faina ya Sh. Milioni 1.5 kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zaidi ya Sh. Milioni 200.

Pia washtakiwa hao, wametakiwa kulipa fidia ya Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.

Washitakiwa hao wamefanikiwa kulipa kiasi cha Sh.Milioni 200 kati ya fedha hizo.

Hukumu hiyo, imetolewa ba Hakimu Mkazi Mkuu, Kassian Matembele baada ya kupokea makubaliano baina ya washtakiwa na DPP na kukiri makosa mawili ya kutumia mitandao kilaghai na kuisababishia hasara TCRA.

Hakimu Matembele alisema Mahakama imezingatia hoja za pande zote mbili, ambapo upande wa mashtaka uliomba adhabu kali itolewe na upande wa utetezi waliomba kupunguziwa adhabu kwa sababu washtakiwa wameonesha busara ya kukiri makosa yao.
Pesa wanazo!
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Mhandisi Baraka Mtunga (43) na Rajabu Katunda (42) kulipa faina ya Sh. Milioni 1.5 kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zaidi ya Sh. Milioni 200.

Pia washtakiwa hao, wametakiwa kulipa fidia ya Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.

Washitakiwa hao wamefanikiwa kulipa kiasi cha Sh.Milioni 200 kati ya fedha hizo.

Hukumu hiyo, imetolewa ba Hakimu Mkazi Mkuu, Kassian Matembele baada ya kupokea makubaliano baina ya washtakiwa na DPP na kukiri makosa mawili ya kutumia mitandao kilaghai na kuisababishia hasara TCRA.

Hakimu Matembele alisema Mahakama imezingatia hoja za pande zote mbili, ambapo upande wa mashtaka uliomba adhabu kali itolewe na upande wa utetezi waliomba kupunguziwa adhabu kwa sababu washtakiwa wameonesha busara ya kukiri makosa yao.
Hivi tcra inapata hasara au inakosa mapato? Nataka kujua kama chombo hiki ni taasisi ya kibiashara yenye kupata faida au hasara au ya serikali inayokusanya au kukosa mapato?
 
Sio hivyo
Voda na tigo nimetoa mfano na unaposema sijui unalenga kipi haswa.

Mitandao yote hiyo wanauza data kwa wateja wa kawaida na wakubwa, kupitia dedicated lines.

Halotel
Ttcl
Vodacom
Tigo
Na makampuni mengine wanazo hizo huduma.

Leo nikitaka kuanza kutoa huduma za wifi, kwa eneo la morogoro mjini nikiwa na vibali vyote, data connectivity aidha kwa fiber, vsat au wimax nitapata kutoka kwa hao jamaa, from there ndio top brands kama ubiquiti (wireless network equipmemts) kazi zao zinaanza.

Haya niambie ndugu mutanzania ni kipi nisichojua hapo, muda mwingine tunaandika kwa ufupi ili kila mtu aelewe.
 
Wewe ulitaka mahakama ifanye nini? Iwafunge bila kulipa walichoiba au walipe wasifungwe.. hapo nashindwa kukuelewa ukisema wanadhulumiwa...
Nadhani alitaka mahakama itoe hukumu ya haki bila kuingiliwa kisha kama ni faini au kifungo vitatolewa kwa mujibu wa sheria za mahakama.
Ila hayo makubaliano haina tofauti na mtu aibe halafu muyamalize kinyumbani, lazima mmoja ataumia tuu.
 
Back
Top Bottom