Watu 2 wahukumiwa kwa hatia ya kusambaza Huduma ya Internet bila kibali na kuisababishia hasara TCRA

Fafanua kidogo hapa yani mm ninunue simu then tcra waje waikague na nilipe pesa ya ukaguzi how!!?
ama ndio ukusanyaji wa mapato mpya!?
11.PNG





22.PNG






33.PNG



44.PNG
 

Attachments

  • Guidelines and Fees for Type Approval of Telecommunications or Radio-communications Equipment.pdf
    526 KB · Views: 8
Kinaitwa VPN

No ila vpn kama kuna port ikiwa kwa ajili kazi maalumu hizi walizifunga kiusalama hata kibiashara.
IMG_2237.jpg


p2p wireless devices
Zinategemea kwa hali ya mazingira na geology zipo mpaka kuanzia kilomita 3,5,7,15 mpaka 20 na kuendelea
 
Na wewe punguza basi kusifia hata visivyohitaji kusifia. Design zenu kwa kupenda kujifanya mna mahaba mazito mnaweza hata msifia siku mkimsikia kajamba mbele za watu. Utasikia sana Magu, ushuzi mzuri sana, umetoka kisheria sana.
Magufuli hatakiwi kusifiwa?
 
Na kwa nini faini isiwe nyingi kuliko hiyo fidia
'Pia washtakiwa hao, wametakiwa kulipa fidia ya Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.'

Hio part hapo juu hukuiona mzee baba.
 
'Pia washtakiwa hao, wametakiwa kulipa fidia ya Sh.Mil 267.656.794.30 baada ya kuingia makubaliano na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokana na kukiri kwao makosa hayo.'

Hio part hapo juu hukuiona mzee baba.
Nimeisoma mi nazungumzia hiyo faini mbona ndogo hivyo kwa hela yote hiyo
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom