mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Mapenzi yako yaheshimiwe .....Ila siyo wote wako na mrengo huo binafsi nilimpenda Sana diamond Yule wa nenda kamwambie, nimpende Nani nk. Ila baada ya kuanza kusample vibe za kinigeria sikumpenda labda kidoogo wimbo ameimba na OmarionMkuu kushuka kwenye game ni jambo la kawaida ,ila game la bongo lina muhitaji diamond kuliko yeye anavyo li hitaji,
Achana na hao wasanii wa msimu, Diamond ajatoa back 2 back ila jamaa bado ni numero uno , na albam atakayo toa itampa miles kadhaa za kuendelea kutawala game.
Na unavyo sema ngoma alizotoa za kawaida utakua una ongopa , ngoma zote alizotoa zimefanya vizuri na always number hua haziongopi.
Ayo unayo sema ya ku sample ndiyo yamefanya atawale game miaka kumi mfululizo,mda wake wa kushuka ukifika atashuka ila kwa sasa bado tupo nae kwenye game sana.Mapenzi yako yaheshimiwe .....Ila siyo wote wako na mrengo huo binafsi nilimpenda Sana diamond Yule wa nenda kamwambie, nimpende Nani nk. Ila baada ya kuanza kusample vibe za kinigeria sikumpenda labda kidoogo wimbo ameimba na Omarion
Chino wana man😂Uyo Harmonize ?
Chino kiddUtajiri ndio muhimu. Uyo mwingine cmjui kabisa.
Anacheza mpira timu gani?Chino kidd
Kweli usiponiheshimu mimi, utaheshimu hela zangu.Diamond hana hit song na zilizopo za kawaida sana.... Utajiri tu ndio unambeba.
Mkuu wewe unaishi nyuma ya muda sanaMapenzi yako yaheshimiwe .....Ila siyo wote wako na mrengo huo binafsi nilimpenda Sana diamond Yule wa nenda kamwambie, nimpende Nani nk. Ila baada ya kuanza kusample vibe za kinigeria sikumpenda labda kidoogo wimbo ameimba na Omarion
Ndio wadudu gani hao na wanaimba nini?Wana JF
Ukisikia mtu kushuka kunaanzaga kwa visingizio. Diamond hana hit song na zilizopo za kawaida sana. Utajiri tu ndio unambeba. Ona vijana wanavyomjibu
😂 Ety kaingia mkataba na shetani, umasikini utakuuaKaingia mkataba na shetani kuibomoa jamii yeye anafaidika na pesa shetani anafaida kwa jamii kuharibika.Zaidi ya kupromote ngono,uzinzi ulevi hakuna kingine