Wamegombea nafasi gani?
Una uhakika na hayo majina au siku ya wajinga iko mwezi wa kumi siku hizi?
Una uhakika na hayo majina au siku ya wajinga iko mwezi wa kumi siku hizi?
hatari!
Angalia, watoto wa vigogo waliopita uvccm ngazi ya taifa.
1. Dickson membe
2. Fredy lowasa
3. Ridhiwani kikwete
4. Ashura hussein mwinyi
5. Ben samwel sitta
6. Debora mwandosya
7. Irene pinda
8. Felister ndugai
9. Christopher ndejembi
10. Sharifa bilal
11. Hawa kigoda
12. Judith mukama
13. Jalome msekwa
n.k