mkuu umekula like kwenye red!!!hicho ni chama cha ukoo,hata bagamoyo kuna mohamed kikwete! wototo wa vigogo wanakosa ubunifu wa jinsi ya kutoka kimaisha wanadhani kila kitu ni siasa.
Tupe na nafasi zao UVCCM.
My GOD hawaogopi kibiriti kilichoandaliwa 2015!!HATARI!
Angalia, watoto wa vigogo waliopita UVCCM Ngazi ya taifa.
1. DICKSON MEMBE
2. FREDY LOWASA
3. RIDHIWANI KIKWETE
4. ASHURA HUSSEIN MWINYI
5. BEN SAMWEL SITTA
6. DEBORA MWANDOSYA
7. IRENE PINDA
8. FELISTER NDUGAI
9. CHRISTOPHER NDEJEMBI
10. SHARIFA BILAL
11. HAWA KIGODA
12. JUDITH MUKAMA
13. JALOME MSEKWA
n.k
Wapiga debe mtapiga sanaaaaaaaaaaaaaa lakini hamuoni ndani ng'o.mtatumiwa sanaaaaaaaaaaaaaaaa lakini hampati chochote baba.
hicho ni chama cha ukoo,hata bagamoyo kuna mohamed kikwete! wototo wa vigogo wanakosa ubunifu wa jinsi ya kutoka kimaisha wanadhani kila kitu ni siasa.
Huyo unaemuita baba yako kaanza na mzazi mwenzie Rose Kamili(Mbunge),Tundu lissu na dadake,Ndesamburo yupo mkwewe(Mbunge) na bint yake(Mbunge) na mke wa mhasibu wake wa zamani Keys Hotel Maulida Komu(Mbunge).Mbowe alitawazwa uenyekiti wa chama na baba mkwe wake muasisi wa chama mzee Mtei.Hii ndio Tanzania zaidi uijuavyo nakushauri labda uende DP,NAREA,PPT AU ADC
HATARI!
Angalia, watoto wa vigogo waliopita UVCCM Ngazi ya taifa.
1. DICKSON MEMBE
2. FREDY LOWASA
3. RIDHIWANI KIKWETE
4. ASHURA HUSSEIN MWINYI
5. BEN SAMWEL SITTA
6. DEBORA MWANDOSYA
7. IRENE PINDA
8. FELISTER NDUGAI
9. CHRISTOPHER NDEJEMBI
10. SHARIFA BILAL
11. HAWA KIGODA
12. JUDITH MUKAMA
13. JALOME MSEKWA
n.k
HATARI!
Angalia, watoto wa vigogo waliopita UVCCM Ngazi ya taifa.
1. DICKSON MEMBE
2. FREDY LOWASA
3. RIDHIWANI KIKWETE
4. ASHURA HUSSEIN MWINYI
5. BEN SAMWEL SITTA
6. DEBORA MWANDOSYA
7. IRENE PINDA
8. FELISTER NDUGAI
9. CHRISTOPHER NDEJEMBI
10. SHARIFA BILAL
11. HAWA KIGODA
12. JUDITH MUKAMA
13. JALOME MSEKWA
n.k
Taifa linaelekea kubaya sana! Ee Mungu tunusuru na hili janga