Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,133
- 20,295
Ktk kile kinachodaiwa kuwa ni Uzalendo ndani ya Chama cha Mapinduzi Dr Magufuli( R.I.P) alikomesha na kuonya Tabia ya kurundika watoto wadogo kwenye vyama na kuwanyima haki yao ya Kusoma na kufanya mambo yao ya Utotoni.
Dr Magufuli alijua hizo ni mbinu za Vigogo( mafisadi) kupenyeza watoto wao na Familia zao kwenye system za Uongozi kwa Mgongo wa UVCCM Chipukizi.
Sisi wengine tulipoonya na kukemea mambo haya ya Undugunisation kwenye vyeo watu walibeza wakasahau hata Aliyekuwa Rais wakati huo alipiga stop.
Sasa mambo yale yale yameibuka kama uyoga kwa kasi ya Miale ya jua.